Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Yatch club mwenzangu na Mimi kuingia pale ni Kama kuisaka visa ya kwenda kwa Trump.Nakuombea upone upesi mtoto wa mwenyekiti
Babu yake Pamoja na Mzee Rupia na kina Dossa ndio watu waliokua na pesa ya kuifadhili TANU miaka hiyo ...
Ile club bilicanas jengo “walizawadiwa” na Mwalimu ndio maana Pamoja na kuwa mpinzani hakuna Rais kuanzia Mwinyi hadi Kikwete amewahi kuulizia au hata kujaribu kuwatoa
Infact Babu yao Pamoja na kuwa alipewa hakuchukua document wazeee wa zamani walikua hawa fuatilia Sana
Ila baada ya Mzee mwinyi kuingia aliwapa share asilimia 70% ya Jengo na 30% NHC ... ambako nazo zilishuka baada ya ukarabati mkubwa uliofanyika miaka ya mwisho ya 90 ambako NHC walikubaliana kukatana
Nahisi hadi Sasa Pale hapajajengwa kwa sababu atakayejenga Pale miaka ijayo Magu akiondoka kutakua na fidia kubwa sana Pale
Aliyekua mkurugenzi wa NHC anasema kwa rafiki zake walishauri lisivunjwe kuhofia sheria mbele ya Safari Lakini alipigiwa simu na kiongozi mkubwa kuambiwa akiamka asubuhi asikute Jengo ndio maana hawakuwapa hata nafasi ya kutoa mali zao nje