Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

ilikuaje jamaa mbishi
Yaani we acha tu. Kwa kifupi, mamsap alikuwa ananipa mzigo wa kumtunza na kumsomesha mwanaye wakati huyo mtoto ana baba mitaani anabangaiza tu....Mamsap akawa ananipiga mizinga na kumpa hela jamaa yake ili ajiweke vizuri na siku akiwa na maisha mazuri waje kurudiana. Nilipata funu kwa watu japo sina uhakika sana kwamba mamsap alikuwa anakula uroda na yule kibaka wake. Nilipomuacha ghafla wacha alie na kunilamu eti mtoto alikuzoea na kukuona wewe ndiyo babake, nitamwambia nini sasa? Nikamwambia mtafutitie baba yake halisi, analia na kusema yule baba yake ni fala tu hapo hapo bado analala naye....wanawake jamani. Yule demu alinipotezea muda sana na alikula hela zangu kumtunza fala wake.
 
Wakuu kwema,nipo mkoani napiga mishe zangu za kutafuta maisha.Juzi kati wakati natoka nilipishana na mtoto mmoja wa Kizanzibar mkali kinyama anaelekea kituoni nilivomuona moyo ukastuka ila nikampotezea nikaona huyu maji marefu sitomuweza.Nikapita short cut zangu tukaja kutana kituoni.Stori zikaanzia pale na tukaanza fahamiana hadi akanilipia nauli kwenye gari tulivoshuka.Nikachukua namba yake nikasepa zangu.Taratibu nikaanza kumtext nikitaka kumjua kiundani zaidi na kweli alikua atoa ushirikiano,akaniambia kamaliza chuo x na pale mtaani alikuja kwa ndugu zake tu mara moja kusalimia.Baada ya siku kadhaa nimemchek akaniuliza wifi yangu hajambo?nikamjibu sina tena nashukuru Mungu nimekutana na wewe uchukue nafasi yake(wakati hapo nina mademu si chini ya wa5 na mmoja ana mimba changa).Akawa haamini kama kijana mtanashati kama mimi nikakosa mtu wa kutoka nae.Nikaanza shusha vocal zangu za ubaharia mtoto akawa haamini kama nipo single.Basi akasema nimpe muda atanijibu,nikaona hapa mambo bull bull.Kiukweli ni msichana mrembo sanaa kila mwanaume kamili lazima ahitaji kua nae.Siku ya pili akaanza niuliza vimaswali pale nikajibu ipasavyo basi akasema nipo tayari kua na wewe ila naomba usiniumize.Penzi likaanzia hapo nikawa nimezama kwa mtoto wa kiZenji ana uarabu flani nywele kama zote.Akaja kuniambia ana mtoto mdogo ana approach 2 years now na baba yake alishaacha nae akavunja ndoa coz alimkamata na rafiki ake ndani mwake akampiga chini so akawa single hataki mtu.Tumekutana kimwili kama mara mbili na yuko bomba anajua mapenzi kanipa kila kitu na anajituma.Nahitaji awe mama wa watoto wangu na yeye anahitaji pia tuje tuishi pamoja(kuna dalili ashanasa preg. tayari) na yule wa mwanzo awe kama mwanang wa kwanza maana ni kazuri nakapenda.Muda ukifika nataka niwashirikishe wazazi.Mnanishauri nini wakuu kuhusu huyu binti niendelee nae au nipite tu,na dini ni tofauti.
Wanaume mna dhambi nyie!!!! Umeshatengeneza singlemaza mwingine au wengine maana huenda ukaona mwingine mzuri zaidi na huyu mzanzibari ukamwacha. Mwisho wa siku mnawanaga single maza kumbe nyie ndio sababu.
 
Mzenji tena!! Kuwa makini yasije kukutokea yale ya yule bilionea wa kirusi.Aliyerest in peace akiwa na toto la kizenji kitandani!!
 
Wanaume mna dhambi nyie!!!! Umeshatengeneza singlemaza mwingine au wengine maana huenda ukaona mwingine mzuri zaidi na huyu mzanzibari ukamwacha. Mwisho wa siku mnawanaga single maza kumbe nyie ndio sababu.
Mwamba anataka kutengeneza familia ya watoto ambao hawajapishana miezi hata 9.

Watoto wakikua wakajuana wanajua yani kabla mkubwa hajazaliwa, baba alikimbilia kwa mama mwingine akampiga mimba.

Hakuna nyota ya kijani wala bluu.

Mwamba anasema hataki ubaguzi wa rangi.
 
Yaani alikamatwa ndani kwake na mwanaume mwingine akaachika wewe ndio unaona utaweza kumtuliza?
 
Back
Top Bottom