Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Bila shaka umekutana na mwanamke wa kizanzibara .

Hivi wewe CHOGO unaweza kweli kukubalika mbele ya binti wa kizanzibar halisi?
Hao watu ni wabaguzi sana,,
Sifa zote mbaya tumepewa wanaume wa bara..

-- Hatujuwi mapenzi.
-- sio wastaarabu.
-- tunatesa wanawake.
-- hatupendi kutumwa na mwanamke..

Jiandae kwenda marikiti na kapu kuleta mahitaji..
tuseme ni mchanganyiko,unanishauri nini wewe kama wewe
 
Unamaanisha nini uliposema umekutana naye mara mbili kitandani na kakupa kila kitu?
namaanisha nimefanya nae mapenzi mara mbili na kanipa utundu wake wote
 
[emoji28][emoji23]....acha nicheke tuu,tukushauri nini Sasa mkuu.

Soma vizuri ulichoandka,afu weka hisia pembeni tumia akili yako yote kufikiria utapata majibu..

NB:- hawara atongozwi.
Mwanamke hana uwezo wa kuvunja ndoa.
hiyo NB ndio imebeba ujumbe ila kiukweli nimekosa jibu stahiki maana nimepata raha sitaki kuzikosa
 
Nawajuwa vzr sana,,

.--Dada zetu wa bara kwao wanawaita Malaya..wahuni,,nk.

--Dada zao ndy wana heshima..na wametulia...kwa kuwafanya wake wa ndoa.

--Dada zetu wa bara hao kaka zao ndy wanaona wanawake wa kujifunzia kufanya matusi na kukidhi haja zao lakini sio wa kuoa kwa ndoa.

--Dada zao wao wanawatia sumu kuhusu wanaume wa bara..

Wanaume wa kizanzibar na waarabu wote wana tabia sawa..

---Kuchezea Dada zetu baadae kuwaacha na kuoa wa kwao.
kwahiyo hanifai au unamaanisha nini
 
Nawajuwa vzr sana,,

.--Dada zetu wa bara kwao wanawaita Malaya..wahuni,,nk.

--Dada zao ndy wana heshima..na wametulia...kwa kuwafanya wake wa ndoa.

--Dada zetu wa bara hao kaka zao ndy wanaona wanawake wa kujifunzia kufanya matusi na kukidhi haja zao lakini sio wa kuoa kwa ndoa.

--Dada zao wao wanawatia sumu kuhusu wanaume wa bara..

Wanaume wa kizanzibar na waarabu wote wana tabia sawa..

---Kuchezea Dada zetu baadae kuwaacha na kuoa wa kwao.
kwahiyo hanifai au unamaanisha nini
 
Daaah! Jamaa umefaidi sana!
Demu kakupa kila kitu?? Ila huwa hatuwaoi wanawake wanaotoa kila kitu mkuu! Hao tunakula tu hiyo kila kitu halafu tunasepa
mkuu,kila kitu umeelewa nini
 
Back
Top Bottom