mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,473
- 21,702
Tena analilia apewe na nyongeza.kkkkkk.[emoji1] [emoji1] [emoji1] dadeki Nazi wanautalaamu wa kuchagua
Mkuu kuna siku nimewahi kumsikia Dada mmoja Jirani yangu ,,wakiongea na rafiki yake,,
Na wote ni wa visiwani
Akimponda mumewe hajuwi kuchagua vitu marikiti.,
Kila akienda anarudi na nazi koroma,, mihogo michungu.
.yule mmoja alimpamba Sana mumewe,,kwamba ni hodari sana kwenye kuchaguwa,,
Haswa Nazi na samaki...
Duu!! Aisee!!! wanawake hawa wa kizanzibar wanawezana wenyewe kwa wenyewe.