Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Bila shaka umekutana na mwanamke wa kizanzibara .

Hivi wewe CHOGO unaweza kweli kukubalika mbele ya binti wa kizanzibar halisi?
Hao watu ni wabaguzi sana,,
Sifa zote mbaya tumepewa wanaume wa bara..

-- Hatujuwi mapenzi.
-- sio wastaarabu.
-- tunatesa wanawake.
-- hatupendi kutumwa na mwanamke..

Jiandae kwenda marikiti na kapu kuleta mahitaji..
Daah hivyo ndivyo walivyo?
Kuna jamaa anafanya kila kitu yeye
 
Vicheche wawil mmekutana.
Angalien msiunguzane tu.
 
Namba leo.

Tongoza kesho.

Jua kila kitu kumhusu kesho.

Anaomba kufikiria. Jibu ni ndiyo kesho kutwa.

Unapewa kila kitu kwa mara mbili.

Huyu ndiye mke wa kuoa. Niamini mimi kama humtaki gawa namba
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom