Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Mtoto wa Kizanzibar kanikamata

Yaani we acha tu. Kwa kifupi, mamsap alikuwa ananipa mzigo wa kumtunza na kumsomesha mwanaye wakati huyo mtoto ana baba mitaani anabangaiza tu....Mamsap akawa ananipiga mizinga na kumpa hela jamaa yake ili ajiweke vizuri na siku akiwa na maisha mazuri waje kurudiana. Nilipata funu kwa watu japo sina uhakika sana kwamba mamsap alikuwa anakula uroda na yule kibaka wake. Nilipomuacha ghafla wacha alie na kunilamu eti mtoto alikuzoea na kukuona wewe ndiyo babake, nitamwambia nini sasa? Nikamwambia mtafutitie baba yake halisi, analia na kusema yule baba yake ni fala tu hapo hapo bado analala naye....wanawake jamani. Yule demu alinipotezea muda sana na alikula hela zangu kumtunza fala wake.
wanawake ni viumbe special kutoka Mars
 
Wanaume mna dhambi nyie!!!! Umeshatengeneza singlemaza mwingine au wengine maana huenda ukaona mwingine mzuri zaidi na huyu mzanzibari ukamwacha. Mwisho wa siku mnawanaga single maza kumbe nyie ndio sababu.
tufanyaje sasa kama watamu
 
Mwamba anataka kutengeneza familia ya watoto ambao hawajapishana miezi hata 9.

Watoto wakikua wakajuana wanajua yani kabla mkubwa hajazaliwa, baba alikimbilia kwa mama mwingine akampiga mimba.

Hakuna nyota ya kijani wala bluu.

Mwamba anasema hataki ubaguzi wa rangi.
watapishana mwezi mmoja
 
Back
Top Bottom