OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Mtoto wa Jakaya Kikwete ,Ridhiwan Kikwete avuruga mkutano wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM -Taifa) Masauni Yusuph Masahuni.
Taarifa zinasema Ridhwan aligoma kutoka katika mkutano wa Masahuni na Wenyeviti wa Mikoa wa Umoja huo
Taarifa zinasema baada ya kutoelewana katika mkutano wa kusimika makamanda ,Mwenyekiti (Masahuni), aliiitisha Mkutano wa Ghafla Asubuhi ya jumapili ulihoshirikisha wenyeviti wote wa Mikoa 20 ya Tanzania Bara wa jumuhia.Taarifa za uhakika zinasema mkutano huo ulivunjika kabla ya kuanza kutokana na kile kilichodaiwa Ridhwan kukataa kutoka nje ya kikao, Mwenyekiti Masahuni alikataa kuendesha mkutano huo kwa sababu Ridhwan Alingangania kuwepo kikaoni.
Ilikuwa Baada ya Ridhwan kukataa kutoka nje ya ukumbi mkutano wa wenyeviti ulivunjika.
Hata hivyo taarifa zinasema mivutano ndani ya jumuhia hiyo inatokana Ridhwan kutaka kumburuza Mwenyekiti Masahuni,na mikakati ya Beno Malisa(Makamu Mwenyekiti wa UVCCM) Pamoja na Ridhwan Kutaka kutehua Makamanda na Makatibu wa Uvccm Wilaya Na Mikoa pasipo mshirikisha Mwenyekiti Masahuni kwa matakwa yao maalum kwa ajili ya kumwekea Ridhwan mazingira mazuri kwa ajili ya Uchaguzi ya U-Rais 2025.
Pili inadahiwa Ridhwan na Beno Malisa Wamekuwa Wakipew Rushwa na Wafanyabiashara ili wawape Ukamanda wa Vijana,Ni hiki ndicho kilichomuhudhi Masahuni hadi kufikia kuitisha mkutano wa ghafla jumapili asubuhi ulioshirikisha wenyeviti wote wa mikoa 20 ya Tanzania bara wa jumuhia hiyo kujadili mienendo ya Makamu wa UVCCM Taifa na Ridhwan Kikwete
Taarifa zinasema Ridhwan aligoma kutoka katika mkutano wa Masahuni na Wenyeviti wa Mikoa wa Umoja huo
Taarifa zinasema baada ya kutoelewana katika mkutano wa kusimika makamanda ,Mwenyekiti (Masahuni), aliiitisha Mkutano wa Ghafla Asubuhi ya jumapili ulihoshirikisha wenyeviti wote wa Mikoa 20 ya Tanzania Bara wa jumuhia.Taarifa za uhakika zinasema mkutano huo ulivunjika kabla ya kuanza kutokana na kile kilichodaiwa Ridhwan kukataa kutoka nje ya kikao, Mwenyekiti Masahuni alikataa kuendesha mkutano huo kwa sababu Ridhwan Alingangania kuwepo kikaoni.
Ilikuwa Baada ya Ridhwan kukataa kutoka nje ya ukumbi mkutano wa wenyeviti ulivunjika.
Hata hivyo taarifa zinasema mivutano ndani ya jumuhia hiyo inatokana Ridhwan kutaka kumburuza Mwenyekiti Masahuni,na mikakati ya Beno Malisa(Makamu Mwenyekiti wa UVCCM) Pamoja na Ridhwan Kutaka kutehua Makamanda na Makatibu wa Uvccm Wilaya Na Mikoa pasipo mshirikisha Mwenyekiti Masahuni kwa matakwa yao maalum kwa ajili ya kumwekea Ridhwan mazingira mazuri kwa ajili ya Uchaguzi ya U-Rais 2025.
Pili inadahiwa Ridhwan na Beno Malisa Wamekuwa Wakipew Rushwa na Wafanyabiashara ili wawape Ukamanda wa Vijana,Ni hiki ndicho kilichomuhudhi Masahuni hadi kufikia kuitisha mkutano wa ghafla jumapili asubuhi ulioshirikisha wenyeviti wote wa mikoa 20 ya Tanzania bara wa jumuhia hiyo kujadili mienendo ya Makamu wa UVCCM Taifa na Ridhwan Kikwete