Mtoto Wa JK (Ridhiwan) Avuruga Mkutano wa UVCCM

Status
Not open for further replies.

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Mtoto wa Jakaya Kikwete ,Ridhiwan Kikwete avuruga mkutano wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM -Taifa) Masauni Yusuph Masahuni.

Taarifa zinasema Ridhwan aligoma kutoka katika mkutano wa Masahuni na Wenyeviti wa Mikoa wa Umoja huo

Taarifa zinasema baada ya kutoelewana katika mkutano wa kusimika makamanda ,Mwenyekiti (Masahuni), aliiitisha Mkutano wa Ghafla Asubuhi ya jumapili ulihoshirikisha wenyeviti wote wa Mikoa 20 ya Tanzania Bara wa jumuhia.Taarifa za uhakika zinasema mkutano huo ulivunjika kabla ya kuanza kutokana na kile kilichodaiwa Ridhwan kukataa kutoka nje ya kikao, Mwenyekiti Masahuni alikataa kuendesha mkutano huo kwa sababu Ridhwan Alingangania kuwepo kikaoni.

Ilikuwa Baada ya Ridhwan kukataa kutoka nje ya ukumbi mkutano wa wenyeviti ulivunjika.

Hata hivyo taarifa zinasema mivutano ndani ya jumuhia hiyo inatokana Ridhwan kutaka kumburuza Mwenyekiti Masahuni,na mikakati ya Beno Malisa(Makamu Mwenyekiti wa UVCCM) Pamoja na Ridhwan Kutaka kutehua Makamanda na Makatibu wa Uvccm Wilaya Na Mikoa pasipo mshirikisha Mwenyekiti Masahuni kwa matakwa yao maalum kwa ajili ya kumwekea Ridhwan mazingira mazuri kwa ajili ya Uchaguzi ya U-Rais 2025.

Pili inadahiwa Ridhwan na Beno Malisa Wamekuwa Wakipew Rushwa na Wafanyabiashara ili wawape Ukamanda wa Vijana,Ni hiki ndicho kilichomuhudhi Masahuni hadi kufikia kuitisha mkutano wa ghafla jumapili asubuhi ulioshirikisha wenyeviti wote wa mikoa 20 ya Tanzania bara wa jumuhia hiyo kujadili mienendo ya Makamu wa UVCCM Taifa na Ridhwan Kikwete

 
Tuletee source ili hoja ijadiliwe vizuri au wewe ndiyo source ya habari yenyewe
 
Kageuza viongozi wa UVCCM kama wajakazi wake, kisa mtoto wa Rais?!

Hongera Mwenyekiti, tunahitaji viongozi kama wewe!

Wangemuitia Polisi, halafu tuone ingekuaje?!
 
-Duh,wakuu wa dataz mko wapi?

-kwani Beno Malisa si makamu mwenyekiti?sasa nae angetoka vipi nje ya Mkutano?

-Kama ni kweli Ridhiwan atakua amekosea sana
 

Taarifa zinasema Ridhwan aligoma kutoka katika mkutano wa Masahuni na Wenyeviti wa Mikoa wa Umoja huo

Taarifa zinasema baada ya kutoelewana katika mkutano wa kusimika makamanda ,Mwenyekiti (Masahuni),alihitisha Mkutano wa Ghafla Asubuhi ya jumapili ulihoshirikisha wenyeviti wote wa Mikoa 20 ya Tanzania Bara wa jumuhia.

Kama hii kweli imetokea, naye (Ridhwani) sio Mwenyekiti wa Mkoa, na hana cheo kinachomruhusu kuingia kwa huo Mkutano. Huu ni utoto na kujisikia, na tena ni kiburi cha hali ya juu.

Lakini pia mleta mada, Tanzania bara ina mikoa 21 na sio 20. Pia huu mkutano ulifanyikia wapi?.
 
Tuletee source ili hoja ijadiliwe vizuri au wewe ndiyo source ya habari yenyewe

Nafiikiri mwenyewe ndiye source kulingana na namna alivyoandika(not proper Kiswahili tizama). Beno na Ridhiwan ni marafiki wakubwa mno!!!!! Na Beno yuko pale kuhakikisha maslahi ya mtandao ule wa wakubwa yanatekelezwa. SSM na jumuiya zake wanatia aibu. Nafurahia uhuru wa demokrasia ya kufanya maamuzi hata ya kuamua kuwa katika political party fulani!!! Hakuna penye nafuu, ni mizwengwe tu.
 
Mtoto wa Jakaya Kikwete ,Ridhiwan Kikwete avuruga mkutano wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM -Taifa) Masauni Yusuph Masahuni.

Taarifa zinasema Ridhwan aligoma kutoka katika mkutano wa Masahuni na Wenyeviti wa Mikoa wa Umoja huo

Taarifa zinasema baada ya kutoelewana katika mkutano wa kusimika makamanda ,Mwenyekiti (Masahuni), aliiitisha Mkutano wa Ghafla Asubuhi ya jumapili ulihoshirikisha wenyeviti wote wa Mikoa 20 ya Tanzania Bara wa jumuhia.Taarifa za uhakika zinasema mkutano huo ulivunjika kabla ya kuanza kutokana na kile kilichodaiwa Ridhwan kukataa kutoka nje ya kikao, Mwenyekiti Masahuni alikataa kuendesha mkutano huo kwa sababu Ridhwan Alingangania kuwepo kikaoni.

Ilikuwa Baada ya Ridhwan kukataa kutoka nje ya ukumbi mkutano wa wenyeviti ulivunjika.

Hata hivyo taarifa zinasema mivutano ndani ya jumuhia hiyo inatokana Ridhwan kutaka kumburuza Mwenyekiti Masahuni,na mikakati ya Beno Malisa(Makamu Mwenyekiti wa UVCCM) Pamoja na Ridhwan Kutaka kutehua Makamanda na Makatibu wa Uvccm Wilaya Na Mikoa pasipo mshirikisha Mwenyekiti Masahuni kwa matakwa yao maalum kwa ajili ya kumwekea Ridhwan mazingira mazuri kwa ajili ya Uchaguzi ya U-Rais 2025.

Pili inadahiwa Ridhwan na Beno Malisa Wamekuwa Wakipew Rushwa na Wafanyabiashara ili wawape Ukamanda wa Vijana,Ni hiki ndicho kilichomuhudhi Masahuni hadi kufikia kuitisha mkutano wa ghafla jumapili asubuhi ulioshirikisha wenyeviti wote wa mikoa 20 ya Tanzania bara wa jumuhia hiyo kujadili mienendo ya Makamu wa UVCCM Taifa na Ridhwan Kikwete

Kwanza jifunze kuandika kiswahili fasaha, yaani hata kusoma hamu inaisha paragraph ya kwanza tu.
 
-Halafu pia hii ishu ya kumjadili mtu asiyekuwepo imekaaje?

Atapewa vipi uhuru wa kujieleza?
 
Wadau hiyotaarifa kwa kweli kwa kiasi kikubwa sana ni ya uongo na inapotosha ukweli wa mambo. Kwa kawaida ndani ya jumuiya ya Umoja wa Vijana kuna utaratibu wa wenyeviti wa mikoa kukutana na mwenyekiti wa Taifa na hali kadhalika makatibu wa mikoa wanakutana na katibu mkuu kama mtendaji mkuu na wao wasaidizi wake mikoani kwa ajili ya kubadilishana mawazo nje ya utaratibu wa agenda za kawaida za baraza kuu la umoja wa vijana.


Wanakawaida ya kukutana popote pale panapo wakutanisha na kwa sababu yoyote ile ya kuwakutanisha iwe Dar es salaam, Dodoma, Iringa n.k. Kimsingi kikao cha aina hiyo siyo kikao rasmi ila ni cha wenyeviti na mara nyingiene hata wasiokuwa wenyeviti wanaweza kuwepo kwenye kikao hicho kwa sababu hakuna kikao chochote cha kikatiba au kikanuni kinacho wakutanisha wenyeviti na mwenyekiti wa Taifa wala makatibu wa mikoa na Katibu wao Mkuu.


Kilichotokea Moshi ni kikao cha kawaida kabisa cha kubadilishana mawazo na katika kikao hicho Ridhiwan hakuwepo na hatahilo suala la yeye kukata kutoka kwenye kikao halikuwepo.

Jingine ambalo ninaliona mtoa mada ana lengo la kupotosha au ana agenda binafsi ni suala la kupatikana kwa makamanda wa Umoja wa vijana wa CCM. Kwa mujibu wa kanuni ya umoja wa vijana na ndivyo hali halisi ilivyo kikao cha uteuzi wa makamanda wa wilaya na mikoa kinaongozwa na mwenyekiti na uteuzi wa makatibu wa wilaya na mikoa hufanywa na kikao cha kamati ya utekelezaji ya Taifa ambacho huongozwa na huyo huyo masauni. Hivyo kusema mwenyekiti anazungukwa na hivyo yeye akaamua kuwaita wenyeviti wa mikoa 20 kuongea nao haimake sense. Hii ni hoja ya hovyo hovyo kujadiliwa na mtu mwenye akili timamu na mchambuzi wa mambo.

Natoa ushauri wa bure kwa mtoa agenda ni vema akafanya kwanza utafiti kabla hajacopy na kupaste mambo kutoka kwenye magazeti. Haya mambo ya uchochezi na ugombanishi ni yaaibu tunataka mijadala yenye maslahi kwa Taifa letu na siyo kukifanya kiringe hiki kuwa kama kitchen party hatuhitaji mijadala mwepesi na yenye sura ya udaku.

Tupe data na uzithibitishe tutakuelewa na tutakupongeza kwa kazi nzuri ya kulisaidia Taifa letu.
 
Mtoto wa Jakaya Kikwete ,Ridhiwan Kikwete avuruga mkutano wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM -Taifa) Masauni Yusuph Masahuni.

Taarifa zinasema Ridhwan aligoma kutoka katika mkutano wa Masahuni na Wenyeviti wa Mikoa wa Umoja huo

Taarifa zinasema baada ya kutoelewana katika mkutano wa kusimika makamanda ,Mwenyekiti (Masahuni), aliiitisha Mkutano wa Ghafla Asubuhi ya jumapili ulihoshirikisha wenyeviti wote wa Mikoa 20 ya Tanzania Bara wa jumuhia.Taarifa za uhakika zinasema mkutano huo ulivunjika kabla ya kuanza kutokana na kile kilichodaiwa Ridhwan kukataa kutoka nje ya kikao, Mwenyekiti Masahuni alikataa kuendesha mkutano huo kwa sababu Ridhwan Alingangania kuwepo kikaoni.

Ilikuwa Baada ya Ridhwan kukataa kutoka nje ya ukumbi mkutano wa wenyeviti ulivunjika.

Hata hivyo taarifa zinasema mivutano ndani ya jumuhia hiyo inatokana Ridhwan kutaka kumburuza Mwenyekiti Masahuni,na mikakati ya Beno Malisa(Makamu Mwenyekiti wa UVCCM) Pamoja na Ridhwan Kutaka kutehua Makamanda na Makatibu wa Uvccm Wilaya Na Mikoa pasipo mshirikisha Mwenyekiti Masahuni kwa matakwa yao maalum kwa ajili ya kumwekea Ridhwan mazingira mazuri kwa ajili ya Uchaguzi ya U-Rais 2025.

Pili inadahiwa Ridhwan na Beno Malisa Wamekuwa Wakipew Rushwa na Wafanyabiashara ili wawape Ukamanda wa Vijana,Ni hiki ndicho kilichomuhudhi
Masahuni hadi kufikia kuitisha mkutano wa ghafla jumapili asubuhi ulioshirikisha wenyeviti wote wa mikoa 20 ya Tanzania bara wa jumuhia hiyo kujadili mienendo ya Makamu wa UVCCM Taifa na Ridhwan Kikwete

Naomba unieleweshe kinachomaanishwa kwenye sehemu zilizotiwa alama nyekundu.

Naona wenzangu mnachangia mjadala, nadhani mmeuelewa. Naomba mnieleweshe kidogo tafadhali.

Natanguliza shukrani.

 
2025 huyu kilaza awe rais wa wapi?lol We need bright people sio watu wa Thames Valley University..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom