Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
...duh.,we kiumbe upo fasta!Nadhani ndio yuko chuoni sasa
Sent from my Iphone 6 Plus using JamiiForums mobile app
.ushalifanyia kazi boko dadeki!
...duh.,we kiumbe upo fasta!Nadhani ndio yuko chuoni sasa
Sent from my Iphone 6 Plus using JamiiForums mobile app
Labda First Officer lakini siyo "Captain". Anaweza kuwa mhudumu tu wa ndege anapitisha chakula na vinywaji
Usijali nimependa ungwini wenuMkuu, kama unaona kuna pa kurekebisha usisite, hatuishi kujifunza hadi tunapokufa.
Nimekusoma kaka. Kwa kweli tuwe na utamaduni wa kupenda chetu. UTz wetu kwanza jamani.Ndio maana nimepongeza mkuu Kibehe na baadae nikatoa kama "angalizo",kwamba huyu atakuwa hatua za mwanzo tu,na si kama alivyowasilisha ndugu Ngowi
View attachment 538554
Moja ya darasa la wanafunzi wa urubani wa Chuo cha Etihad....
View attachment 538553
Moja kati ya ndege zao za mafunzo wakiwa chuoni.
View attachment 538552 Huyu kijana wa JK sidhani hata kama atakuwa amefikia level ya kama huyu kijana ya kuwa "Solo Pilot".Na ukiangalia begani kwa wote wawili,wana "bar" moja kuashiria bado wapo "darasani" au wapo tu chuoni kusoma na si kwamba wameajiliwa(Nipo tayari kusahihishwa ndani ya mjadala kama kaajiliwa)
Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya.
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.
Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.
Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.
Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.
Tatizo ni ada ilivyo ghalama.Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani.Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminala one,vijana wengi waliishia kidato cha nne,sababu baba zao wana pesa,wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.
Mzee Mwinyi ana mwanae rubani,sema ile sio familia ya facebook na Instagram.
NB:Isionekane nina wivu
Uliyemuona Feza ni huyo mwenye tshirt nyeupe wa mwisho, huyo rubani ndio huyo mwenye tsht nyeusi mwanzo
View attachment 538547
mkuu wew ni mfipaMambo ya ufipa yanetokea wapi?
watu wengine matusi mnajitafutia wenyewe
Braza hii iphone 7 signature ya kupika lakini. Ha ha ha be real mo fo!Wewe mwenyewe unatumia alhaji tekino siiseveni kumponda mwenzio
Sent from my Apple iPhone 7plus using Jamiiforums