Walokole tunaye yesu wala si kakobe wala awaye yote,nae kakobe haponyi bali yesu, kakobe na wengine wote humwomba mungu kwa jina la yesu na wagonjwa hupokea kupona.hata wewe mwislam ukutanapo na nguvu za giza kemea "kwa jina la yesu" ushangae mapepo watakavyopeperuka.yesu hana ubaguzi wowote maana alikuja kwa ajili ya wote wapate kuwa hai.
na nyinyi walokole si mnae mchungaji kakobe na mchungaji rwakatare wanaye watowa watu mapepo wachafu? Mchungaji kakobe na mchungaji rwakatare ni manabii wa uongo hao wanaotowa watu mapepo wachafu.
mathayo/ chapter 24
4yesu akawajibu, "jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
5 maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: `mimi ndiye kristo,` nao watawapotosha watu wengi.
11 watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.