Mtoto kanivunjia ndoa.

Mtoto kanivunjia ndoa.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,849
Jamani jana alikuja wifi/shemeji yenu toka kijijini kwani nilimwacha baada ya kupata kibarua hapa mjini, kama ilivyo kawaida ya wanaume tulio wengi haturidhiki(mungu atusamehe) niliamua kuwa na mpenzi mwingine hapa town wa kutuliza mashetani ya kipanda, kosa nililofanya ni kumleta mpaka sehemu ninayoishi akawa anakuja mara kwa mara mpaka kuzoeana na watoto wa mama mwenye nyumba, sasa jana my waifu katia timu mjini kutokana na kubanwa na shughuli za ofsini nikamtuma jamaa yangu akamchukue ampeleke nyumbani kizazaa kilianza baada ya kufika nyumbani kuna kitoto pale nyumbani kina miaka kama 6 hivi kamemwambia kila kitu, nimetoka kazini nikakuta waifu kasepa kurudi nyumbani na amesema hataki ndoa tena, nimekoma jamani nimejitetea mpaka basi lakini hanielewi naogopa ndoa yangu kuvunjika.
 
Jamani jana alikuja wifi/shemeji yenu toka kijijini kwani nilimwacha baada ya kupata kibarua hapa mjini, kama ilivyo kawaida ya wanaume tulio wengi haturidhiki(mungu atusamehe) niliamua kuwa na mpenzi mwingine hapa town wa kutuliza mashetani ya kipanda, kosa nililofanya ni kumleta mpaka sehemu ninayoishi akawa anakuja mara kwa mara mpaka kuzoeana na watoto wa mama mwenye nyumba, sasa jana my waifu katia timu mjini kutokana na kubanwa na shughuli za ofsini nikamtuma jamaa yangu akamchukue ampeleke nyumbani kizazaa kilianza baada ya kufika nyumbani kuna kitoto pale nyumbani kina miaka kama 6 hivi kamemwambia kila kitu, nimetoka kazini nikakuta waifu kasepa kurudi nyumbani na amesema hataki ndoa tena, nimekoma jamani nimejitetea mpaka basi lakini hanielewi naogopa ndoa yangu kuvunjika.

Ahsante kwa taarifa
 
Majumba ya wageni wenyeji yamejaa tele mjini, wewe mzinzi mzembe ulidhani unapunguza gharama kufanyia umalaya pale unapoishi. Sasa unavuna ulichopanda.
 
Ingekuwa wewe umemtembelea ukapata taarifa zake kama hizo za kwako UNGEMUELEWA?
Asipokuelewa muelewe!! Akikuelewa Mshukuru Mungu!!
 
Hii nayo kali

Pole kwa kutokufikiri kwako...yaani hawara mpaka kwako,hapo umezidi
 
meseji-ya-nyumba-ndogo-kwenda-kwa-waifu-638x262.jpg
 
....DEDICATION to you ".....wimbo wa baba paroko...."
 
hawara unampeleka hadi nyumbani? huna heshima kwa mke wako, na inaonekana humpendi, maana ungempenda ungemuheshimu
 
Jamani jana alikuja wifi/shemeji yenu toka kijijini kwani nilimwacha baada ya kupata kibarua hapa mjini, kama ilivyo kawaida ya wanaume tulio wengi haturidhiki(mungu atusamehe) niliamua kuwa na mpenzi mwingine hapa town wa kutuliza mashetani ya kipanda, kosa nililofanya ni kumleta mpaka sehemu ninayoishi akawa anakuja mara kwa mara mpaka kuzoeana na watoto wa mama mwenye nyumba, sasa jana my waifu katia timu mjini kutokana na kubanwa na shughuli za ofsini nikamtuma jamaa yangu akamchukue ampeleke nyumbani kizazaa kilianza baada ya kufika nyumbani kuna kitoto pale nyumbani kina miaka kama 6 hivi kamemwambia kila kitu, nimetoka kazini nikakuta waifu kasepa kurudi nyumbani na amesema hataki ndoa tena, nimekoma jamani nimejitetea mpaka basi lakini hanielewi naogopa ndoa yangu kuvunjika.

Wewe ndio umevunja ndoa yako....sio huyo mtoto..
Try to be responsible for your actions.
Nyambaf.....
 
Naona kama huyu mtoto kakusaidia..
BTW.. kwani kasema UONGO au UKWELI??
 
:majani7: :majani7: AKUMBUKWE MUASISI BOB MARLEY MWENYEWE, KAPATA WAHANGA, WENGINE HATA HAWAJITAMBUI!
 
kma ni ya kweli huyo naye ni mcharuko...yani anafanya maamuzi pasipo hta kukuuliza............majanga
Jamani jana alikuja wifi/shemeji yenu toka kijijini kwani nilimwacha baada ya kupata kibarua hapa mjini, kama ilivyo kawaida ya wanaume tulio wengi haturidhiki(mungu atusamehe) niliamua kuwa na mpenzi mwingine hapa town wa kutuliza mashetani ya kipanda, kosa nililofanya ni kumleta mpaka sehemu ninayoishi akawa anakuja mara kwa mara mpaka kuzoeana na watoto wa mama mwenye nyumba, sasa jana my waifu katia timu mjini kutokana na kubanwa na shughuli za ofsini nikamtuma jamaa yangu akamchukue ampeleke nyumbani kizazaa kilianza baada ya kufika nyumbani kuna kitoto pale nyumbani kina miaka kama 6 hivi kamemwambia kila kitu, nimetoka kazini nikakuta waifu kasepa kurudi nyumbani na amesema hataki ndoa tena, nimekoma jamani nimejitetea mpaka basi lakini hanielewi naogopa ndoa yangu kuvunjika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom