Mtoto kanivunjia ndoa.

Mtoto kanivunjia ndoa.

Duh kitanda kimoja atumie hawara na mke!ni sahihi huyo mke kuondoka!ila pole kwa kutofikiria athari za kumpeleka hawara nyumbani

Hawara yake gesti tuuu,ht akija nyumbani atafanyiwa kwa zuria.
 
meseji-ya-nyumba-ndogo-kwenda-kwa-waifu-638x262.jpg
Mimi nimeingi hapa ndani ya mada kwa kukushukuru kuweka hii joke, nimecheka sana.
 
we nae! agghhhh! nashindwa kukuhurumia kwa kuwa umejitakia....
 
Aiseee...mtoto!?? Hata sisi mabachela tunajua demu wa kuzugia haletwi home...Mkuu umeaibisha the whole men fraternity unamsingizia mtoto!??
 
kwanini mkeo umemuacha kijijini? una muda gani mjini? mlete mkeo mjini, mpate tabu na raha wote, hayo ni matokeo ya kujifanya unatafuta mjini mke kijijini, kilugha chetu tunasema "pole kummenya", uncle Elli atakutafsiria. Huyo mtoto wa miaka 6 naye amemsaidia mkeo, ila hiyo tabia inazidi umri wake kwa kweli.
 
:majani7: :majani7: AKUMBUKWE MUASISI BOB MARLEY MWENYEWE, KAPATA WAHANGA, WENGINE HATA HAWAJITAMBUI!

Mmh! Cacico mambo gani tena haya! Nakumbuka bob naye alikuwa anafanya mambo kama haya kwa ritha.
 
Jamani jana alikuja wifi/shemeji yenu toka kijijini kwani nilimwacha baada ya kupata kibarua hapa mjini, kama ilivyo kawaida ya wanaume tulio wengi haturidhiki(mungu atusamehe) niliamua kuwa na mpenzi mwingine hapa town wa kutuliza mashetani ya kipanda, kosa nililofanya ni kumleta mpaka sehemu ninayoishi akawa anakuja mara kwa mara mpaka kuzoeana na watoto wa mama mwenye nyumba, sasa jana my waifu katia timu mjini kutokana na kubanwa na shughuli za ofsini nikamtuma jamaa yangu akamchukue ampeleke nyumbani kizazaa kilianza baada ya kufika nyumbani kuna kitoto pale nyumbani kina miaka kama 6 hivi kamemwambia kila kitu, nimetoka kazini nikakuta waifu kasepa kurudi nyumbani na amesema hataki ndoa tena, nimekoma jamani nimejitetea mpaka basi lakini hanielewi naogopa ndoa yangu kuvunjika.

Samahani mkuu kwani we unatokea mkoa gani?, ukinijibu nakupa ushauri ukikaa kimya imekula kwako!!
 
Jamani jana alikuja wifi/shemeji yenu toka kijijini kwani nilimwacha baada ya kupata kibarua hapa mjini, kama ilivyo kawaida ya wanaume tulio wengi haturidhiki(mungu atusamehe) niliamua kuwa na mpenzi mwingine hapa town wa kutuliza mashetani ya kipanda, kosa nililofanya ni kumleta mpaka sehemu ninayoishi akawa anakuja mara kwa mara mpaka kuzoeana na watoto wa mama mwenye nyumba, sasa jana my waifu katia timu mjini kutokana na kubanwa na shughuli za ofsini nikamtuma jamaa yangu akamchukue ampeleke nyumbani kizazaa kilianza baada ya kufika nyumbani kuna kitoto pale nyumbani kina miaka kama 6 hivi kamemwambia kila kitu, nimetoka kazini nikakuta waifu kasepa kurudi nyumbani na amesema hataki ndoa tena, nimekoma jamani nimejitetea mpaka basi lakini hanielewi naogopa ndoa yangu kuvunjika.
Unaogopa ndoa kuvunjika au ndo imeshavunjika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom