Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,768
- 225,509
What's wrong?
I miss you.
What's wrong?
Sasa unafikiri ku sweat sana (dehydration) hakuwezi kuua? Tena watu wenyewe watotoHapo kuna zaidi ya hilo, kujifungia peke yake vioo ndani ya gari huwezi kufa, bali uta sweat sana...
Pole yao sana wafiwa...
Really?
I miss you.
NdiyoReally?
Siyo rahisi hivyo... kuna vya ziada hapo vilivyosababisha...Sasa unafikiri ku sweat sana (dehydration) hakuwezi kuua? Tena watu wenyewe watoto
I am hic et nunc.Ndiyo
Au we mwenzetu unaongelea vent za landrover 109 sio?Uongo!
Zile ventilation za AC zinapitisha hewa
Wenzako wanaongelea magari ambayo ukipita barabara ya vumbi unaoga vumbi wakati upo ndani ya gari 😆😆😆😆Unalala kwenye gari gani.
Hyo gari iliyoua unaijua lakini?
Ndugu usiwe mbishi yawezekana magari yenu ndio hayo ruber za milango na vioo zimeisha weeee hdi basi bado matundu madogo madogo kwenye flour ya gari,Siyo rahisi hivyo... kuna vya ziada hapo vilivyosababisha...
Asante baba diet na misamiati.I am hic et nunc.
Hakuna kitu kama hicho, nakataa...Ndugu usiwe mbishi yawezekana magari yenu ndio hayo ruber za milango na vioo zimeisha weeee hdi basi bado matundu madogo madogo kwenye flour ya gari,
Zingatieni hili Kwanza gari yenyewe ni nissan halafu namba ni DW kwa maana gari hiyo bado ina upya hasa tukiangalia usajili wake hivyo ninahakika ruber za milango na vioo vikifungwa ni sealed kweli kweli na ruber za flour zipo tight yaan humo ndan ya gari
unaweza kujaza upepo 40 na kesho ukija kupima ni 40 ile ile hakuna hata point iliyo potea
Endelea kukataa kwa sababu ni haki yako kikatiba banaHakuna kitu kama hicho, nakataa...