DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Jua.. na joto.. Nimeshamaliza kukuelimisha mlolongo. Tulia sasa mkulu wangu. Twende zety tukafanya kazi za kujenga taifaMbona hamueleweki?
Suala ni jua, au hewa?
Jua.. na joto.. Nimeshamaliza kukuelimisha mlolongo. Tulia sasa mkulu wangu. Twende zety tukafanya kazi za kujenga taifaMbona hamueleweki?
Suala ni jua, au hewa?
Sio kweli. Tatizo sio hewa.. ni joto..
Labda mapafu ya watoto hayajakomaa,,,sijui lkn sio kitaalamu najiwazia tu yaaniMbona mi najifungiaga jamani na sipati tatizo lolote
Mbona sisi malindoni tunalala kwenye magari hatujafa?
Hapa kuna jambo
KumbeNa vioo mnafunga.. ndio wati nawaambia shida sio kukosa hewa.. tatizo ni joto.. usiku hakuna joto na unalala usiku mzima na gari UMEZIMA na vioo unafunga vyote.. kama hali ya hewa sio ya joto, utakuwa sawa
Hii si mara ya kwanza hili jambo kutokea. Inaelekea zinafanya pale gari inapokuwa on labda umewasha AC au feni.Can you suffocate inside a car, no.
A car has got ventilation system.
Mkuu kanisani mpaka sadaka zinapigwaUmakini unakosekana uyo mama alishindwa vipi kutokufunga nusu kuacha nafasi ilihali apo ni kanisani wizi upo kidogo sana,
Jua uongeza joto hewa huwa nzitoMbona hamueleweki?
Suala ni jua, au hewa?
Kwa nini hakuingia nao kanisani? Au kuwaacha home?Fikiria mama alikuwa kanisani anasali atajiuliza Mbona Mungu hakunusuru balaa hilo lisitokee?
Mbona Mungu hakumstua mapema akawaangalie kabla hali haijawa mbaya ili walau wakaponee hospitali?
Iwapo atajiuliza hayo maswali ataumia sana kwa uchungu.
Mungu amfariji zaidi.
Acha utaahira.Sasa alienda kanisani akaacha watoto wachunge gari au ni nini.
Kina dada mkipata hebu punguzeni jazba.
Hivi hawaoni visa vya kufungia watoto kwenye gari na kuziba vioo.
Tumia akili.Kwa nini hakuingia nao kanisani? Au kuwaacha home?
Wamekufa kwa kujifungia ndani ya Gari... Mama yao akiwa kanisani. Maana yake mama aliwaacha ndani ya gari... Au wewe mwenye akili mingi umeelewaje??Tumia akili.
Soma taarifa vizuri imeeleza
Hivi una akili timamu?Wamekufa kwa kujifungia ndani ya Gari... Mama yao akiwa kanisani. Maana yake mama aliwaacha ndani ya gari... Au wewe mwenye akili mingi umeelewaje??
Unajiona una akili lakini ni pimbi tuu, bado nasema Kuna uzembe hapo... Na kama bado unakereka nenda kameze boga na wewe ufe tuu coz ur a waste of time and space...
Yarabiiiiiiiii.....Unajiona una akili lakini ni pimbi tuu, bado nasema Kuna uzembe hapo... Na kama bado unakereka nenda kameze boga na wewe ufe tuu coz ur a waste of time and space...
Hivi mtu anaweza kuandika DOUBLE halafu ashindwe kuandika CABIN badala yake aandike KEBEN?
What's wrong?
Yaani wewe