Mtoto aliye jeruhiwa na Bomu Afariki leo

Mtoto aliye jeruhiwa na Bomu Afariki leo

anastahili aitwe ENGOMOS na magamba yake yenye Sumu



Kha ha ha ha ha ha haaaaaa!
Mbavu zangu jamani!
DALLAI LAMA hii kauli 'ENGOMOS' umeitoa wapi?
Hebu tunaiomba tafsiri yake kidogo tu angalau wengine tuelewe!

Loh!
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana. Watz ni wasahaulifu, ccm waliua wana cuf 37 mkawaita magaidi. Leo vipi?
 
Nilipomuona Nape kwenye TV akiongea utumbo nilipatwa kichefuchefu. Sijui kama ni bangi au nini, mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya mambo haya akaendelea kuonyesha uso wake hadharani. Aliyemuua padre hajakamatwa, aliyemkosakosa padre hajakamatwa, aliyemuua Ulimboka kajakamatwa, aliyemwua Kibanda hajakamatwa, waliochoma makanisa Tanga hawajakamatwa. Intelijensia?? THE HAGUE IS CALLING.
 
poleni wafiwa , kabla ya Chadema Arusha haikua na matukio kama haya, it was a very peaceful town lakini baada ya janga fulani kuja, haya yatakua mazoea ya mji wa arusha, misiba, hili ni janga kuu
 
mtu aliye lipua bomu ajajali kuwa lile bomu uwenda lingeenda hata kumuua ndugu yake au shangazi yake, au mjomba wake kwa sababu sisi wote ni ndugu
 
Mungu baba, naomba wote walioshiriki mauaji haya wapate ajali na wafe kifo kibaya sana, Ameen.
 
huyu mtoto amekufa kwa risasi iliyokutwa mwilini.

Damu iliyomwagika SOWETO na iwe juu ya ccm na watetezi wake wote laanza iwaandame vizazi kwa vizazi.
 
source mwananchi

Mtoto aeleza kupigwa risasi
Adam alisema jana kuwa alipigwa risasi na
mtu aliyekuwa amevalia sare za polisi,
wakati akitoka madrasa akiwa na ndugu
yake, Fahdi katika eneo la Soweto.
Alisema akiwa njiani, aliona watu
wakimkimbiza mtu na ghafla alishangaa
kupigwa risasi na kuanguka chini.
“Namkumbuka aliyenipiga risasi alikuwa
amevaa sare za polisi,” alisema Adam
mwanafunzi katika Shule ya Msingi
Levolosi huku akitokwa machozi.
Muuguzi wa zamu, katika katika wodi ya
watoto katika Hospitali ya Mount Meru,
Asha Semdeli alisema jana kuwa mtoto
huyo ana vyuma viwili katika mguu wake.
“Tunasubiri afanyiwe upasuaji kwani tayari
mashine ya X-ray inaonyesha vyuma
kuwepo katika mguu wa Adam siwezi
kusema ni risasi au la,” alisema Semdeli.
 
Jamani ni bora jeshi la polis livunje kwa maslahi mapana ya taifa letu! Serikali imeshindwa kutoa mafunzo yenye weledi kwa askari, nina wasiwasi huenda mapolis hufundishwa mambo ya kiccm chuoni kuliko uzalendo kwa taifa letu! Allah iangamize ccm kwa udhalimu wanaoufanya kwa viumbe wako!!!
 
Halafu bado waislam koko km Ritz na Lipumba wanasema waislam waipende CCM?Mtoto katoka madrasa anafanyiwa haya....pale soweto watu hukatiza sana na wengine huenda ktk mazoezi.

Watoto wa wapangaji pale km ilivyo kwa watoto wadogo wote wa Arusha "Huipenda sana CDM", kuna uwezekano CCM ikawa imewapa madhara makubwa sana kisaikologia.
 
Jamani ni bora jeshi la polis livunje kwa maslahi mapana ya taifa letu! Serikali imeshindwa kutoa mafunzo yenye weledi kwa askari, nina wasiwasi huenda mapolis hufundishwa mambo ya kiccm chuoni kuliko uzalendo kwa taifa letu! Allah iangamize ccm kwa udhalimu wanaoufanya kwa viumbe wako!!!

hapa kwetu mtera OCS Twaha ayubu yeye kaamua swala moja tu kamnyan'ganya mke na mimba yake mkazi mmoja hapa mtera kisa alimsaidia huyo mama kesi ya wizi wa fedha za finca-dodoma mwenyemke anapatikana kwa namba0753481834
 
hapa kwetu mtera OCS Twaha ayubu yeye kaamua swala moja tu kamnyan'ganya mke na mimba yake mkazi mmoja hapa mtera kisa alimsaidia huyo mama kesi ya wizi wa fedha za finca-dodoma nafkiri taarifa rasmi zitamfikia kamanda wa mkoa wa dodoma david misime muda c mrefu.
mmh., nadhani mfumo mzima wa taifa letu ni corrupt, hao huwatumikia mashetani na si watanzania,tena kwa usawa...
 
Jamani ni bora
jeshi la polis livunje kwa maslahi mapana ya taifa letu! Serikali
imeshindwa kutoa mafunzo yenye weledi kwa askari, nina wasiwasi huenda
mapolis hufundishwa mambo ya kiccm chuoni kuliko uzalendo kwa taifa
letu! Allah iangamize ccm kwa udhalimu wanaoufanya kwa viumbe
wako!!!

Wala lisivunjwe hadi limalize kile ilicho anza yaani sasa ligeukie Rais wa nchi au waziri mkuu, au waziri wa ulinzi au igp kwani WAMELILEA NA KULIKOMAZA HIVYO.
 
Wala lisivunjwe hadi
limalize kile ilicho anza yaani sasa ligeukie Rais wa nchi au waziri
mkuu, au waziri wa ulinzi au igp kwani WAMELILEA NA KULIKOMAZA
HIVYO.

Kama alivyosema huyo mtoto, siku si nyingi maneno hayo hayo atayasema kiongozi mkuu wa serekali au sisiem. Laki si wameyalea wenyewe? Vingine waache usanii Waogoze nchi kwa misingi ya haki.... Vinginevyo ????!??
 
Back
Top Bottom