utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Halafu mtu anasema Chadema wanajilipua wenyewe
akili hizi ni za hatari sana
huo ndio ukweli. Wamejilipua ili wapate huruma ya wananchi
Halafu mtu anasema Chadema wanajilipua wenyewe
akili hizi ni za hatari sana
kwa hiyo waipende chadema inayotekeleza mauaji?
Unalaaniwe wewe na mwenyekiti wako Kikwete mratibu wa mauaji -Tanzania uzuri majibu yake atayapata kabla hajafaMungu ampumzishe kwa Amani.
Kwa mwananchi wa kawaida akisikia neno CHADEMA akilini mwake inakuja taswira ya vita na machafuko.
CHADEMA ilaaniwe.
hivi unaanisha nini hasa, tuwe wazi ili tueleweMungu ampumzishe kwa Amani.
Kwa mwananchi wa kawaida akisikia neno CHADEMA akilini mwake inakuja taswira ya vita na machafuko.
CHADEMA ilaaniwe.
Ee Mungu waangazie majeruhi walio hospitali"Jah luv is superior never come back inferior....
Ujio wa chadema umeleta ghasia vifo watu kuchukiana maandamano ujambazi mauaji vitisho kutekwa watu kuishi kwa hofu kubaguana kwa dini na kabila bunge lisilo na nidhamu .......
Makamanda mtoto mwingene afariki leo alijeruhiwa na bomu mungu aiweke roho yake pema peponi na katibu wa mbunge yuko I.c.u hali yake mbaya cna mh gabu anahali.mbaya cna tumwombeeni jamani tanzania inatakuwa somalia jmni mungu ibariki chadema mungu ibarki tanzania ccm na chadema zote zinapita tu vyama vya siasa zinapita tu tujali ubinadamu vyama vinapita tu tujenge mshkamano na upendo jmni r.i.p makamanda wetu siasa sio uwadui jamani viongozi wa dini iombeeni nchi yetu jamani inaelekea pabaya cna waislaam na wakristo ombeeni taifa hli jamani kesho ndyo tunawaaga miili ya marehemu uwanja wa soweto njooni tuwasindikize makamanda wetu
Ujio wa chadema umeleta ghasia vifo watu kuchukiana maandamano ujambazi mauaji vitisho kutekwa watu kuishi kwa hofu kubaguana kwa dini na kabila bunge lisilo na nidhamu .......
kwa hiyo waipende chadema inayotekeleza mauaji?