Mtoto alipoharibu

Khaaa wewe dada wa mie nawe hupungukiwi na vistori vya kuturusha roho sisi wananume,daaah what a coincidence?,yaani jiji looote hilo la Makonda jamani?,eti nakutana na katoto kangu ka mchepuko? daah nakosa pumzi aisee,na sasa hivi Venossa kaninywesha mbege ndo kabisaa siamini,tena Venossa kasema ati umetunga story au?
 
We espy, naona umeamua kuwa SPY. 🙂
Kui hebu njoo pm,maana umekaa mkao wa hasara kabisaaa au vipi?,nafikiri nikikupa ile inaitwa sakayosa au magoma moto ndio itakuwa heshima humu jukwaani baby au?,nataka ukirudi jukwaaani uhadithie jinsi gani nanihii ilikuwa taamu.
 

Mimi ningejifanya na presha nakuzimia, nikija kuzinduka najifanya sikumbuki chochote [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mchepukaji ni mchepukaji tu, kama alikudharau mwanzo akachepuka na kukuletea mtoto, ukimchukua huyo ataenda kwa mwingine utaletewa mwingine.

Mwanamke kama uko hai walaa usikubali mwanao kulelewa na mama wa kambo.
Wala kulelewa na bibi au ndugu wa upande wa mwanaume.
 
Kabisaaaa,tatizo watu wana rahisisha sana.
Si kurahisisha ninadhani dhana kubwa ni kuhimiza waliathirika kuzingatia matibabu ili kuepusha maambukizi mapya, na pia walioathirika wakitumia dawa kikamilifu wanaweza kuishi maisha ya kawaida.
 
Wewe honey mbona huna huruma?eti unasema hurumaaaaa,hahaaaa nikiiishiwa pesa tu unanisukuma pembeni mpaka naanguka kitandani,huruma eboooo,wewe huna huruma kabisa bila pesa,na hunipi bila pesa.
Acha kutoa mambo ya ndani
 
Ningekuwa mke wa Peter ningesema dogo aletwe nyumbani, mama yake atakuwa anakuja kumsalimia.
utawapa nafasi yakufyatua wengine!
ningependa kuzichapisha kama short stories!
 
Mimi ningejifanya na presha nakuzimia, nikija kuzinduka najifanya sikumbuki chochote [emoji28][emoji28][emoji28]
Ukizinduka tu unamkuta dogo ndio anakuamsha 'dady amka'
 
Reactions: kui
Si kurahisisha ninadhani dhana kubwa ni kuhimiza waliathirika kuzingatia matibabu ili kuepusha maambukizi mapya, na pia walioathirika wakitumia dawa kikamilifu wanaweza kuishi maisha ya kawaida.
Kweli lakini bado huwezi kuwa na amani uliyokua nayo mwanzo.
 
Kabisa, mpaka ukazaa it means yo ready to be a mom, kuwa responsible,lea mwanao mwenyewe.
Kwelii sababu mtoto inatakiwa alelewe na mama na baba lakini inapotokea hali kama hiyo mtoto alelewe na mama tu sababu sikuzote uchungu wa mwana aujue mama.
 
KIGANGO......[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
hahahah huku Mwanza mke wa ndoa anaitwa PAROKIA na nyumba ndogo ni KIGANGO kwa maana Padre anaishi parokiani lakini anapeleka misa KIGANGONI na kurudi kulala parokiani
 
He he heee!...apite watu wote aje akuite ww daddy!...kazi ipo hapo mkuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] spat picha huyo jmaaa alijubu nn wife
 
duh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
Lakin mchepuko unarlax shida iko kwa mtoto

Kwel dam nzito kuliko maji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…