Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
inaezekana ni maendeleo tunayokimbiza babu DC
Kweli Chauro??
Kama ni mambo ya ulozi naweza kuelewa kwani ni mambo mbayo huwa nayasikia na sijawahi kuwa na hamu nayo!
Ila kweli Mama yako anakuvutia hadi unatia timu?? Na wewe mama unakufa na kuoza kwa mwanao??
Ngoja nisubiri wazazi waje watupe busara zao!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: