Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
Hivi wana Jamiiforums hamjashtuka au mpaka tuwape code.
Ni hivi labda mtanielewa, kwamba hawa watu wana magroup yao kama wanachama na viongozi wao.
wanajadiliana kisha kuna mmoja analeta wazo au mada inapigiwa chapuo kisha ina pelekwa mitandaoni ijalishi kama ana media,msanii, account zao feki au zao kabisa na n.k.
Mada inapo postiwa utaona sekunde mtu kakubari kusifia hata kama hiyo mada ni ndefu kama mkeka wa kubeti.
Wengine wamepewa kuangalia mada ambazo zitagusa mfupa wa serikali ya ccm kuzijibu haraka mfano weka mada itakayo fichua kisha angalia sekunde ni mashambulizi na wengine wana kuripoti ufungiwe au kufutwa haraka.
Mshaelewa hii ofisi ?.Sio mda mfupi hii mada watakuja haraka kuanza ajenda zao muone matokeo.
Angalia mfano hawa wamepishana dakika moja
Ni hivi labda mtanielewa, kwamba hawa watu wana magroup yao kama wanachama na viongozi wao.
wanajadiliana kisha kuna mmoja analeta wazo au mada inapigiwa chapuo kisha ina pelekwa mitandaoni ijalishi kama ana media,msanii, account zao feki au zao kabisa na n.k.
Mada inapo postiwa utaona sekunde mtu kakubari kusifia hata kama hiyo mada ni ndefu kama mkeka wa kubeti.
Wengine wamepewa kuangalia mada ambazo zitagusa mfupa wa serikali ya ccm kuzijibu haraka mfano weka mada itakayo fichua kisha angalia sekunde ni mashambulizi na wengine wana kuripoti ufungiwe au kufutwa haraka.
Mshaelewa hii ofisi ?.Sio mda mfupi hii mada watakuja haraka kuanza ajenda zao muone matokeo.
Angalia mfano hawa wamepishana dakika moja
