Mtindo wa kutunisha na kuacha sehemu ya MATITI wazi!

Mjanga

JF-Expert Member
Feb 13, 2011
1,238
324
Kwa wale wadada wanaopenda kuacha sehemu ya matiti wazi baada ya kuyatunisha!

leo ndani ya daladala moja ruti ya Kariakoo-Mwenge kupitia Sinza, napanda hili gari maeneo ya shekilango pale,
mara anaingia mdada anakaa siti usawa wa mlango,ile siti ni ya watu wawili anaogopa kusogea ukutani kwa sababu anazojua yeye,
mara anaingia mbibi mtu mzima yuko mlangoni anamwambia sogea tukae, binti anatoa miguu pembeni kama dalili ya kumpisha bibi apite akalie siti ya ukutani, cha ajabu bibi badala ya kupita anaanza kupapasa matiti ya huyu binti huku akisema "unafanya show ya matiti" actually yule binti anahamaki na kukasirika sana!

swali je kutunisha matiti na kuacha sehemu ya juu wazi ni makosa?
tukio kama hili linawezakuchukuliwa kama udhalilishaji?
au huyu bibi alikuwa na mambo yake?
 
  • Thanks
Reactions: Odb
Kwa wale wadada wanaopenda kuacha sehemu ya matitit wazi baada ya kuyatunisha!
leo ndani ya daladala moja ruti ya kariakoo-mwenge kupitia sinza, napanda hili gari maeneo ya shekilango pale,
mara anaingia mdada anakaa siti usawa wa mlango,ile siti ni ya watu wawili anaogopa kusogea ukutani kwa sababu anazojua yeye,
mara anaingia mbimbi mtu mzima yuko mlangoni anamwambia sogea tukae, binti anatoa miguu pembeni kama dalili ya kumpisha bibi apite akalie siti ya ukutani, cha ajabu bibi badala ya kupita anaanza kupapasa matiti ya huyu binti huku akisema "unafanya show ya matiti" actually yule binti anahamaki na kukasirika sana!
swali je kutunisha matiti na kuacha sehemu ya juu wazi ni makosa?
tukio kama hili linawezakuchukuliwa kama udhalilishaji?
au huyu bibi alikuwa na mambo yake?

Anyway itabidi tumuulize huyu bibi!
 
nadhani huyo bibi alikua ana yake tu...

Kwa mtazamo wangu Bibi hakuwa na nia mbaya zaidi ya kumuonya binti kwa tabia ya kuacha nyonyo wazi.

Hapo kama huyo binti aliamua kwa dhat kuanika nyonyo sasa alihamaki nini??

Si ameamua kuuza manyonyo ili wateja waone wachague kama wameridhika nayo!!!!!!!

Mwenye nidhamu hawezi kuvaa nguo inayonyesha uwazi kwa juu; kwani hakuna magauni au mashati yanayotosheleza na kuhifadhi sehemu zote za mwili????

Tuache kwenda na wakati huku tunaharibikiwa na wakati.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kwa mtazamo wangu Bibi hakuwa na nia mbaya zaidi ya kumuonya binti kwa tabia ya kuacha nyonyo wazi.

Hapo kama huyo binti aliamua kwa dhat kuanika nyonyo sasa alihamaki nini??

Si ameamua kuuza manyonyo ili wateja waone wachague kama wameridhika nayo!!!!!!!

Mwenye nidhamu hawezi kuvaa nguo inayonyesha uwazi kwa juu; kwani hakuna magauni au mashati yanayotosheleza na kuhifadhi sehemu zote za mwili????

Tuache kwenda na wakati huku tunaharibikiwa na wakati.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

umenena vyema sana, ubarikiwe.
Tatizo ulimbukeni wa kimagharibi ndio unao tusumbua.
 
hii fasion ni komon hapa mjini! Wadada wengi sana wanapenda kubana na kuvaa nguo inayoacha uwazi kwa juu!
bilashaka kuna wanaume wanaopenda kuona mabibi zao wakiwa hivo!

huyo amepitwa na wakati, matiti ni kwa mumewe si kwa wapita njia
 
ha ha who knows labda mdada alihamaki kwasababu the "actual beneficiary" didn't match the "expected target(s)"...ni mtazamo tu
 
  • Thanks
Reactions: Odb
Hiyo fashion ipo mjini sana, sasa hiyo cha mtoto ... kuna staili ya kuvaa jistring( kile kichupi cha ktkt ya ......) na jeans na top afu amkute amekaa kile kiti cha kukunjua kwenye dala dala ndo utachoka!! Kitop kikojuu, jeans iko chini kichupi chote kiko nje afu eti anahangaika kushusha kitop.... khaa mi huwa nawashangaa sana kwa kweli.. daaa
 
  • Thanks
Reactions: Odb
nilishindwa kuelewa kwa nini bibi huyu aliamua kumpapasa/kutomasa matiti badala ya kumueleza makosa yake!
 
mmmh, ningekuwa mie lazima ningekuwa segerea mida hii.

Unipapase na ebola hii?? Ningefanya tukio lazima.
 
hahahahahahahahahaha bibi huyoooooo. congs bibi sometimes inabidi wafunzwe hawa dada zetu make wanatupa shida sana humu kwenye usafiri. make mwanaume haswa lazima apate somsing inside trying to look around just because umeamshwa hisia pasipo na vazi kama lile. big up sana bibi.
 
Kwa mtazamo wangu Bibi hakuwa na nia mbaya zaidi ya kumuonya binti kwa tabia ya kuacha nyonyo wazi.

Hapo kama huyo binti aliamua kwa dhat kuanika nyonyo sasa alihamaki nini??

Si ameamua kuuza manyonyo ili wateja waone wachague kama wameridhika nayo!!!!!!!

Mwenye nidhamu hawezi kuvaa nguo inayonyesha uwazi kwa juu; kwani hakuna magauni au mashati yanayotosheleza na kuhifadhi sehemu zote za mwili????

Tuache kwenda na wakati huku tunaharibikiwa na wakati.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Akina dada, hiki kivutio cha kununua bra zenye sponji ya kuinulia matiti kwanza unaukosesha raha mwili kwa kuufinyafinya na madudu eti matiti yaonekane yamesimama wakati utakapokutana na anayenaswa katika mtego huo anashkia kitu ni tepetepe imejaa hadi tumboni, mambo haya si mazuri na si malezi mema. Mbona bibi zetu hawakuwa na kawaida hiyo na utaona hawakusumbuliwa na hizi homa za saratani ya maziwa?

Kama alivyosema mdau hata wazungu wanaonunua bra za sponji kuinulia matiti ni walewale kama hawa tunaoshuhudia, kwani waliostaarabika wanapenda nguo zinazoenda na mwili ulivyokaa, hata kama hali inaelekea chini zaidi zipo bra zinazohimili vishindo hivyo.

Kuinua kidogo si mbaya, lakini wengi utaona kila dalili za kupitiliza hadi nyonyo zinataka kugusa videvu vyao, huku ni kuubana mno mwili wao na kwa vyo vyote wanaumia kama ilivyokuwa inaumiza ile dawa ya nywele wakati ule (kalikiti).
 
Kwa wale wadada wanaopenda kuacha sehemu ya matiti wazi baada ya kuyatunisha!

leo ndani ya daladala moja ruti ya Kariakoo-Mwenge kupitia Sinza, napanda hili gari maeneo ya shekilango pale,
mara anaingia mdada anakaa siti usawa wa mlango,ile siti ni ya watu wawili anaogopa kusogea ukutani kwa sababu anazojua yeye,
mara anaingia mbibi mtu mzima yuko mlangoni anamwambia sogea tukae, binti anatoa miguu pembeni kama dalili ya kumpisha bibi apite akalie siti ya ukutani, cha ajabu bibi badala ya kupita anaanza kupapasa matiti ya huyu binti huku akisema "unafanya show ya matiti" actually yule binti anahamaki na kukasirika sana!

swali je kutunisha matiti na kuacha sehemu ya juu wazi ni makosa?
tukio kama hili linawezakuchukuliwa kama udhalilishaji?
au huyu bibi alikuwa na mambo yake?

That question should have been asked the elderly lady boarding the dala dala or what over
 
hii fasion ni komon hapa mjini! Wadada wengi sana wanapenda kubana na kuvaa nguo inayoacha uwazi kwa juu!
bilashaka kuna wanaume wanaopenda kuona mabibi zao wakiwa hivo!

Biashara matangazo,huyo dada alikuwa anatangaza kwamba anamudu titi f.u,ck.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom