kama ni hivyo pia elewa hapa siyo facebook. Ningekushauri ukaiposti huko huko facebook
sijui jina tatizo gani kila siku lazima nitembelee wall ya x wangu siku akiweka picha ya mwanamke sijui nitafia wapi...ila simtaki tena he was worse....hafai am happy with my sweet baby ila roho inauma
Hahahahaha, kweli wewe sio mtaalam wa hesabu!Mimi si mtaalamu wa mahesabu lakini 75 + 50 = 125.
Sasa sijui ni hesabu za wapi hizi au labda mimi ndio sielewi asilimia inapatikanaje!
Nimedeclare mapema mimi si mahiri kwenye upande wa Mathematics, ila asante kwa ufafanuzi na mimi umenipa shule ya bure na Elimu wala haina mwisho.Hahahahaha, kweli wewe sio mtaalam wa hesabu!
25% are between 20 and 35, and 50% are under 20. Ukijumlisha unapata 75% under 55.
50 na 75 are not cumulative, maana walio under 20 wapo ndani ya walio under 35. Umeelewa kaka yangu?
I guess I should have said 75% are under 35 OUT OF WHICH 50% are under 20. It would have been less confusing. Hizi ztats nimezipata toka presentation ya Ndugu J. Makamba kwenye presentation yake ya Youth and leadership in the last CCM council. 🙂Nimedeclare mapema mimi si mahiri kwenye upande wa Mathematics, ila asante kwa ufafanuzi na mimi umenipa shule ya bure na Elimu wala haina mwisho.
Nature ya Profesional yangu haikunilazimu sana kujikita kwenye Mathematics, ni kama unavyoona Muhindi yeye kwake ni Computer, English na Commerce tu, na ndio style yangu pia, nilidrop siku nyingi masomo yasiyo na tija kwangu.