Aymanarusha
Member
- Oct 23, 2012
- 5
- 8
Mimi nipo Arusha. Nimeagiza mzigo leo kutoka kampuni ya Sundar, Dsm na huu siyo mara ya kwanza niagize mzigo kwao Sundar.
Nilipewa bei na nikatuma pesa kwa airtelmoney. Sasa, na ambiwa na staff wao kwamba nitume mtu akachukue huo mzigo ofisini kwao kariakoo! Eti ni mzigo mdogo!
Nikashangaa! Nikamwuliza, kawaida ni mzigo wa mikoani inatumwa kwenye transport na mnunuzi anilipa hiyo gharama akipokea mzigo! Huyu Sundar anani ambia nirudishe muamala kama siwezi kuichukua huo mzigo ofisini kwao.
Na uliza wafanya biashara wenzangu, huo ni mtindo wa haki?
Nilipewa bei na nikatuma pesa kwa airtelmoney. Sasa, na ambiwa na staff wao kwamba nitume mtu akachukue huo mzigo ofisini kwao kariakoo! Eti ni mzigo mdogo!
Nikashangaa! Nikamwuliza, kawaida ni mzigo wa mikoani inatumwa kwenye transport na mnunuzi anilipa hiyo gharama akipokea mzigo! Huyu Sundar anani ambia nirudishe muamala kama siwezi kuichukua huo mzigo ofisini kwao.
Na uliza wafanya biashara wenzangu, huo ni mtindo wa haki?