Mtikisiko! Serikali, CCM wahamia Dodoma. Pinda, Kagasheki watoleana uvivu

KOMBA hana uwezo wa kua ata balozi wa nyumba kumi kumi Uwezo wake wa kufikiri unaishia TUMBONI kwake na AKILI zake zimeamia TUMBONI mbona hana hoja zaidi ya kubimbisha Tumbo...KOMBA huna uwezo ata robo kwa KAHASHEKI kuanzia akili yako ya Tumbo na pesa humfikii ata km na wewe umepata makombo ya ESCROW....Jaribu kua unatumia japo ata akili yako ya darasa la sita kujenga hoja na sio kuja na mipasho...Kati ya vitu ambavyo vimeigharimu CCM hasa wakati wa KIKWETe ni kurahisisha mambo kwa kila sehemu ona unawezaje kumpa mtu mwenye akili ndogo km KOMBA kua mbunge mbona unatuhaibisha waTZ yeye Bunge kwake ni km TOT haoni tofauti kua pale ni jukwaa la intelectuals na sio sehemu ya majungu....Na amini JK licha ya kuivua IKULU na NCHI pia kaliharibu BUNGE kwa uswahili wake na itapita miaka 400000 kuja kupata RAIS kutoka mwambao wa PwAni kwani haoni aibu ata mcheza bao kumpa ubalozi

Zipoo kwenye matakooo ya wanawake
 
yanatimia taraaatibu, WARAKA WA KAKOBE QUOTE: Ninawachafulia Usemi watu wote katika Chama chako, wenye nafasi mbalimbali za Uongozi : ili msisikilizane ninyi kwa ninyi ,kuanzia sasa , katika vikao vyenu ,mtafarakana na kutosikilizana F.STOP.,,,,MY TAKE ,CCM,CCM kwa nini mlichakachua KATIBA ,laana hiyo inakuja.
 
Tunachoitaji Hapa ni ccm kuondoka madarakani tumechoka namazingaombwe yao yakila siku futa delete kabisa ccm
 
Hizi wiki tatu zitakua wiki za shughuli kubwa.tukimaliza la escrow tunaingia uchaguzi serikali za mitaa.
lazima vidole vipate sugu.
 
Hakika ukiwa umesoma TANZANIA akili yako inakuwa imejua KUSOMA na KUANDIKA tu!Kwa sasa huyu WM kwa heshima yake angekuwa ameishajiengue siku nyingi.Sijui ni Mseminari gani aisyeweza kutumia akili kidogo tu,mbona wenzie akina Mnyika ndiyo wanawika saa hizi?

Sidhani kama ni MWANASHERIA kweli huyu hana tofauto na KARUMEKENGE.

Mwenzio anataka urais. Wewe unasema ajiengue. Wapi na wapi? Anajua jinsi ya kuchakachua. Hivi imewahi kujiuliza ni kwa nini mtu kaka Chenge anakuwa kwenye kila scandal kubwa lakini yuko kwenye mambo makubwa kama kamati ya bajeti, mwandishi wa BMK? Lakini huyu ndiye kaficha fedha nje, ndiye mwenye kashfa ya rada, yuko kwenye escrow, sina uhakika na Epa. Hawa ndiyo wanamfanya WM asifikirie kujiuzulu. They know how to play their cards. Itaundwa tume ya kuchunguza hili sakata halafu Chenge atakuwa mjumbe au mwenyekitI. Subiri utaona.
 
Tunachoitaji Hapa ni ccm kuondoka madarakani tumechoka namazingaombwe yao yakila siku futa delete kabisa ccm
Madarakani wataondoka kupitia sanduku la kura.kama unathani au unavizia vi ishu kama escrow ili ukamate madaraka unapoteza mda bure.
uende upige kampeni watu wakupigie kura
 
Zipoo kwenye matakooo ya wanawake

Ndugu wewe una umri gani na una kiwango gani cha elimu? Umeoa/imeolewa? Una watoto wangapi? What are your future plans? Unaishi kwenye jamii ya namna gani? Umelelewa na nani? Je, familia yako ingetokea ikaona hii post ingesemaje( tafakari kisha uchukue hatua stahiki.
 
Simchukii ila naona kwamba kama mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali hawezi kuachwa aendelee kupumua ndio najuwa ni waziri mzuri ila hukusimama kidete kuliokoa taifa na ulikaa kimya tu kama mtoto wa mkulima kwa kosa hili tu yakupasa ukae pembeni maana umekula na kama hukula basi kuna harufu nzuri inakujia.
Sii kweli mawaziri wawe wachafu na wewe uwe msafi sii kweli sii kweli najuwa mzee Mangula atawaambia ukweli na mwisho wasiku hataw wewe utajipima na kuachia ngazi on this no god father
Thank you raia mwema
 
Mwigulu alimwambia pinda jana vizuri sana kuwa hawa watu sio kwamba wajiuzulu No.wasimamishwe kazi,wafilisiwe na kipelekwa mahakamani hapo ndipo itakapokuwa salama ya ccm la sivyo huu ni mwisho wa ccm wala wasijisumbue kuja kupit mitaani na kupiga kampeni.imekula kwao wasiposikiliza ushauri wa wananchi na mawaziri wao
 
Yaani mtu kavuta AT LEAST 1.6b, then eti ang'oke tuuu, basi. Hawa walitakiwa wawe wameshapumzishwa haraka (sio kujiuzuru) then sheria ichukue nafasi yake. JK ni Rais dhaifu kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii.
 
sisi tunataka wawajibishwe na pesa warudishe na si vinginevyo
Waliopiga hela wametulia tuli , maisha bhana !
 

Attachments

  • ChengeBungeni_2_.jpeg
    ChengeBungeni_2_.jpeg
    14.5 KB · Views: 460
ngojeni wafu wakawazike wafu wao. hakuna namna nyingine...wapigwe tu maana tumechoka na tabia zao za kiFISADI.
 
Ndio maana nilimuelewa Lissu alipokataa wale jamaa zao wa MM1,MM2,MM3 wasijiudhulu ila wafukuzwe maana tofauti ipo.
 
Back
Top Bottom