Mtikisiko! Serikali, CCM wahamia Dodoma. Pinda, Kagasheki watoleana uvivu

riz 1 awe makini kidogo masuala yanayohusu taifa hayahitaji siasa na utani hili ni suala gumu kwa serikali kusambaza waraka feki ili iweje kwa sababu suala lipo pale pale.nchi haiwezi kulinda kikundi cha watu 14 kuharibu maslahi ya watu 4om. uwajibikaji kwa wahusika ni suluhisho kubwa.
 
Machale yamenicheza....sitapanda ndege kwa safari ya nfani nchi katika msimu huu wa ESCROW, maana hawa jamaa nahisi lazima wamepanga kuishusha moja ili kubadili upepo.
 
Katika tukio jingine mbunge Hamisi Khagasheki amejikuta katika mtifuano mkubwa na wanaomuunga mkono Pinda baada ya kumtuhumu waziwazi waziri mkuu Pinda katika mitandao ya kijamii kuwa ni mwizi ambaye hakupaswa kusubiri hadi leo.

Miongoni mwa waliomjia juu Khagasheki ni John Komba huku akimdhihaki kuwa anaona gere baada ya kutoswa uwaziri!


Kidogo kidogo maneno ya Mungu kupitia waraka wa Kakobe kwa Mh Rais yanaanza kutumia

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/618550-askofu-kakobe-ampelekea-rais-kikwete-ujumbe-wa-wazi-kutoka-kwa-mungu-2.html
 
>ITAKUWA NI UPUMBAVU KWA CHAMA NA WANA~CCM KWA UJUMLA WAKE KURUHUSU KIKUNDI CHA WATU KATI YA 8 MPK 15 KUFANYA SABOTAGE KWA TAIFA LETU NA KUSABABISHA MAAFA KWA TAIFA NA AIBU INAYOZIDI KUPAA KIMATAIFA / WATU HAO KUMI WASABABISHE NCHI KUNYIMWA MISAADA JUHUDI ZOTE ZA RAIS ZIWE 0,YAANI WATU 10 WAUMIZE WATU 45MIL/WE CALL IT A....omg forgive me!
Hivi kwenye hiyo list mkulu hayumo? Nina maana baba Ridh
 
Back
Top Bottom