Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Dah hakika kagame sio mtu mzuri. Yaan mm nmesoma na hao watusi wanaitetea nchi yao bila uoga. Na kwa kagame huwaambii chochote. Kwao ni Mungu. Yaan Kagame kaamua kuitingisha historia kufit matakwa yake.

Ukiunganisha dots na rumors za watu kuhusu viongozi wakuu wasio wazaliwa huenda ikawa ni hoja ya msingi yenye kutia wasiwasi na mustakabali mzima wa nchi yetu.
 
hivi si wamempa ofisi kwa upendeleo maalumu ya clearing pale bandarini na kahama shinyanga plus aliombwa na serikali ya Tanzania kutusaidia wataalamu wa Information technology kuendesha ATCL.. huoni kama tupo irresponsible kwa vizazi vijavyo?vipi yule mnyarwanda wa IT jeshini kwetu aliyetoroka akarudi kwao Rwanda?
Hv tz mnadhani ni nch ya mchezo mchezo tu jichanganyeni huku ni kimya kikimya tu
 
Kagame ameuwa Marais 4 ktk nchi 3 tofauti
1. Ndadaye na Ntadyamira ( Burundi )
2. Habyarimana ( Rwanda )
3. Kabila ( DRC )
Aliwakosakosa Kikwete ( Tz)
Nkurunziza ( Brndi )
M7 ( Ug )
Kwasababu hizo nakubali kua hata kwa Sankala labda ka mr slim kanaweza husika
 
Duu
 
Sahihi kabisa mkuu
 
Hakufika Rwanda aliishia njiani
 
Nachojua Kagame akitaka kuispy tz kwa lengo baya trust me atakua amefanya kitu kibaya kuliko vyote alivyofanya na ndio utakua mwisho wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…