S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Mimi nilihisi ni kwa sababu ya muungano hasa kwa sababu niliwahi kusikiliza tapes zake miaka ya 90's na kwenye hizo tapes alikuwa akigusia muungano tu na jazba inakuja...nikahasi Muungano ndio unamkereketa zaidi.
Jasusi.
Asikuchezee akili yako. mtu timamu utasikiliza tapes zote za Mtikila na kujua aligusia muungano tu kama sio mtu wako wa karibu unayefanya naye kazi na kuratibu mambo yake? nakupa home work kama niliyompa Mkandara kwanini tuandikie mate na wino upo, Mtafute Mtikila mpe jina la katibu wa Jumuiya -UK muulize anamjua vipi utapata jibu.
Yebo Yebo.
utadanganya kwingine hapa tutakung'amua tu.tunasubiri sherehe ya Mwalimu ulikuwa wapi miaka yote iwe leo? kwanini sio jana iwe leo?
Mzee Kifimbo naomba nikukumbushe hii thread:
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=2653&page=17
Kuna mwanabodi humu aliwahi kusema ukimkimbiza chizi mtaani, watu wenye busara watashindwa kujua tofauti kati yenu.