John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 712
- 1,240
Mwanakijiji:
I apologize if I have offended you with my statement. Ila Urais ama u-stateman una miiko yake. Na mmoja wapo wa miiko yake(haijaandikwa mahali-ni utamaduni tu), ni kitozungumza mara kwa mara ama kutoa misimamo ya haraka katika masuala mbalimbali. JF kama Forum zingine pamoja na uzuri wake ubaya wake ni kuwa unawahi sana kutoa msimamo. Unless kama huandiki mara kwa mara. Wakati urais ama u-stateman ni taasisi na huwezi kutenganisha mtu na taasisi hiyo. Sijui kama unanielewa. Ni rahisi sana kwa kiongozi kuingia humu na kuchangia kila wakati kama atatumia pen name. Lakini linapokuja suala la kutumia jina lako moja kwa moja lazima utafakari vitu vingi sana kama ya kuandika. Binafsi napata huo mtanziko mara kwa mara. Sasa kama mimi napata huo mtanziko inakuwaje kwa Mwenyekiti wa chama Taifa na inakuwaje zaidi kwa Rais wa nchi?
I apologize if I have offended you with my statement. Ila Urais ama u-stateman una miiko yake. Na mmoja wapo wa miiko yake(haijaandikwa mahali-ni utamaduni tu), ni kitozungumza mara kwa mara ama kutoa misimamo ya haraka katika masuala mbalimbali. JF kama Forum zingine pamoja na uzuri wake ubaya wake ni kuwa unawahi sana kutoa msimamo. Unless kama huandiki mara kwa mara. Wakati urais ama u-stateman ni taasisi na huwezi kutenganisha mtu na taasisi hiyo. Sijui kama unanielewa. Ni rahisi sana kwa kiongozi kuingia humu na kuchangia kila wakati kama atatumia pen name. Lakini linapokuja suala la kutumia jina lako moja kwa moja lazima utafakari vitu vingi sana kama ya kuandika. Binafsi napata huo mtanziko mara kwa mara. Sasa kama mimi napata huo mtanziko inakuwaje kwa Mwenyekiti wa chama Taifa na inakuwaje zaidi kwa Rais wa nchi?