kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!
Kitu!!
1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation
And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved
MMh mbona hiyo format ya maswali ya kujieleza (normally section B) huwa haina maswali 15? hata language na aina ya maswali ni "utata" kidogo... Im not rulling out anything but mmmhh haya....
mmekosea mngeleake hii pepa ..muda mfupi kabla ya mtihani...hapa hamtawapata mmewapa muda wa kutangaza kuahirishwa kwa huu mtihani [kama ni kweli]
Nini taarab give me a break!sema jingine na si taarabu!niambie basi wewe mfumbuzi Mwanakijiji alimaanisha nini?
mmekosea mngeleake hii pepa ..muda mfupi kabla ya mtihani...hapa hamtawapata mmewapa muda wa kutangaza kuahirishwa kwa huu mtihani [kama ni kweli]
hiyo hapo mini, chukua!!! lol
You seem so furious...seriously, you don't need to get angry mwaya... take it easy, yalikuwa mawaidha tu, yasikusumbue na tuendelee na libeneke.
asante sana ubarikiwe
hiyo hapo mini, chukua!!! lol
You seem so furious...seriously, you don't need to get angry mwaya... take it easy, yalikuwa mawaidha tu, yasikusumbue na tuendelee na libeneke.
AU UPO INTERNET CAFE GANI TUKULETEE PORTABLE SCANNER ? , au kwanini hata usiupiga picha huo mtihani page ya kwanza kwa njia ya simu uuweke hapa ? so simple
Kigarama kama uko dar es salaam wilaya ya kinondoni au ilala nijulishe nitakuelekeza kwa kwenda kuscan na utume hapo hapo bure kabisa
katika hali hii niliyoiona mimi mwenyewe ninaamini paper linavuja kila mwaka.
Aliyepost anaweza ku-scan hiyo paper na kuweka hapa... tutamrudishia fedha yake!
Umefika wakati sasa kubadilisha mfumo mzima wa utungaji, ufanyaji na usahihishaji wa mitihani hususan ya sekondari.
Mfumo wa sasa umepitwa na wakati kutokana na ongezeko kubwa la mashule ( sijui zile sekondari za kata za Lowassa zitakapofika form 4 itawakuwaje) ya sekondari na ukuwaji wa teknolojia ( mobile internet etc) vilevile na kuota mizizi kwa rushwa kona zote za nchi. Ni ukweli usio na shaka udhibiti wa mitihani utakuwa hatarini miaka yote imagine shule ya sekondari ipo mpakani huko na Uganda nyingine mpaka na Msumbiji nyingine zipo kwenye visiwa vidogo vidogo ni mitumbwi tu ndio inafika huko. Katika hali kama hii mtihani unaotungwa Dar Es Salaam unatakiwa atoke Dar kwenda huko ( remote areas) walau wiki moja kabla. Kwa hali ya kawaida udhibiti hapo unakuwa mgumu kosa dogo tu mtihani ukiangukia kwa mjanja unasambaa kama moto wa nyika nchi nzima nahili ndio tunalo shuhudia sasa.
Nadhani ipo haja ya kufuata mfumo wa shule msingi ambao upo kikanda au kimkoa hivi. Hapa hata hivyo panatakiwa pawe na usimamizi mzuri isije ikawa mikoa au kanda nyingine zikawa na mitihani poa wakati wengine wana mitihani migumu kunaweza leta balaa jingine.
Kuwatia kitanzi mama Ndalichako na Maghembe ni kukata matawi na kuacha shina suala hapa ni mfumo sio utendaji.
kigarama jiepushe na huyu jamaa anayejiita shy, usijaribu wala usilogwe ukampa contacts zako! Atakuingiza mkenge wa ajabu sana. Kama unaweza kuwa na digital camera ukaipiga picha mwenyewe hiyo pepa ukurasa wa kwanza fanya hivyo umtumie invisible. Kama hilo haliwezekani basi njia nyingine utakayoweza, lakini nasisitiza sio huyu shy atakutia matatani, anajulikana kwa hilo!
mimi na wewe nani ni shushushu ?? Au nitaje jina lako na tuhuma zako humu ? Mbona unasema vitu ambavyo huna uhakika navyo ?