johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,933
- 141,901
Mmoja wa wagombea aliyekatwa ameelezwa na Mkuu wa Rufaa kwenye kata yake kuwa wamemuondoa kwa sababu kwenye fomu yake ameandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwembeni”.
Mtendaji kamwambia alipaswa kuandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni”
Source: ITV habari
My take:
Nimebaki nacheka tu kwa mshangao!!!!
Mtendaji kamwambia alipaswa kuandika anagombea nafasi ya “Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwembeni”
Source: ITV habari
My take:
Nimebaki nacheka tu kwa mshangao!!!!