ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
- Thread starter
-
- #161
Inaelekea unaijua sana BOT na mambo yake, ebu tusaidie kutufafanulia maana tunasikia tu kuwa kuna mabilioni yalichotwa kwa ajili ya kampeni ya ccm; na mpaka sasa sijawahi kusikia kiongozi yeyote wa ccm akikanusha au kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili, leo nadhani wewe kwakuwa ni mpiga debe wa ccm japo naamini wewe binafsi hunufaiki moja kwa moja na pesa zile zaidi ya posho kidogo unayolipwa kwa siku (deiwaka) kutokana na kuleta mada kama hizi za kizembekizembe. Lakini naamini unaweza kutusaidia kuhusu swala hili, ni kiasi gani ccm ilijichotea kwa kampeni hizo? TUNAUCHUNGU MNO!!!!!!!!!!!
Mkuu Marco,
Hujui kuwa Mbowe ni miongoni mwa watu ambao wamezaliwa mwaka wa uhuru 1961 na hawaijui adha ya usafiri wa jiji,nikiwa na maana kazaliwa kakuta mambo ni mazuri nyumbani kwa enzi hizo,kakua nazo sasa anaziendeleza.
Leo hii ukitaka kuhoji na kutilia shaka utajiri wa Mbowe utaonekana punguani sana.
Tafuta pesa kihalali tengeneza future ya wanao kufa kwaja bwana Marco.
unajua waliokuja na msamiati wa ufisadi hapa Tz kama si CDM au unamiaka mingapi uenda nikawa nabishana strictly under 18,je waweza kunambia kwenye ile list of shame ya DR SLAA pale Mwembe Yanga ni viongozi gani wa CDM walitajwa tofauti na waccm? Au unadhani sisi hatujui historia ya nchi hii yupo wapi BALALI rip in hell.
Huu mkakati wa kujaribu kumchafua Mbowe niliunasa na nikauanzishia thread hapa,lakini kwa sababu zisozoeleweka ama mazingira yenye utata thread yangu ikafungwa.
Baada ya kufungwa kwa thread ile tumeendelea kushuhudia buku Saba fc wanavyoanzisha kila aina ya threads za kumshambulia Mbowe.
Jambo moja la uhakika ni kwamba Mbpwe hachafuki. Mbowe ni mfanyabiashara anayefanya biashara kwa uwazi na analipa kodi inaypstahili kwa mujibu wa sheria.
Kama ccm wanadhani wanaweza kuwanusuru viongozi wao mafisadi walioficha mabilioni ya shilingi katika mabenki ya uswisi kwa hadaa ya kujadili Mbowe kununua nyumba Dubai Huku wakishindwa kubaini kwamba Ana nyimba SA,Kenya,USA na Uingereza basi huo ni upofu wa halo ya juu.
Wananchi wa sasa sio wale wa mwaka 47 kwahiyo hawadanganyiki na hivi vipropaganda uchwara vya ccm. Kwani ccm wamethibitika kushindwa kabisa kutekeleza ilani Yao ya uchaguzi ya 2010 na kujikita katika kufanya ghilba.
Mkuu,
Ukweli uko wazi. Kinachotakiwa ni kuunganisha dots tu ili kuufikia ukweli.
Mzee Mtei alipobanwa kuhusu tenda ya magari ya M4C ya Chadema alijibu hivi:
Je, wewe phill unaamini kuwa Mzee Mtei hajui kuhusu manunuzi ya magari ya M4C. Hasahasa baada ya kusoma hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...m4c-na-pikipiki-kufisadi-ruzuku-ya-chama.html
Mkuu Mwita,
Twende hatua kwa hatua. Tuweke jazba pembeni.
Kinachofanyika hapa ni connecting the dots...
hayo maswali kawaulize wahusika, wewe ndio utoe majibu hapa kwanza kuhusu ku connect the dots. uhusiano wa mtei na mbowe BOT.Wakati unapokuwa unajitahidi kuitetea ccm na serikali yake uwe unaongeza umakini kidogo.
Sasa twende hatua kwa hatua kwa kunijibu maswali yafuatayo.
1. Mtei aliacha kazi BOT mwaka gani?
2. Mbowe aliajiriwa BOT mwaka gani na katika nafasi gani?
Ukinijibu haya maswali mawili kwanza ili baada ya hapo ndipo ywende mbele hatua nyingine.
Wee ni kibaraka tu, baada ya kuupewa ukweli kuhusu ufisadi wa mbowe, ukatumwa hapa uje ufanye counter attack na kupotosha ukweli. mbowe ni jambazi na ni mwizi tuHuu mkakati wa kujaribu kumchafua Mbowe niliunasa na nikauanzishia thread hapa,lakini kwa sababu zisozoeleweka ama mazingira yenye utata thread yangu ikafungwa.
Baada ya kufungwa kwa thread ile tumeendelea kushuhudia buku Saba fc wanavyoanzisha kila aina ya threads za kumshambulia Mbowe.
Jambo moja la uhakika ni kwamba Mbpwe hachafuki. Mbowe ni mfanyabiashara anayefanya biashara kwa uwazi na analipa kodi inaypstahili kwa mujibu wa sheria.
Kama ccm wanadhani wanaweza kuwanusuru viongozi wao mafisadi walioficha mabilioni ya shilingi katika mabenki ya uswisi kwa hadaa ya kujadili Mbowe kununua nyumba Dubai Huku wakishindwa kubaini kwamba Ana nyimba SA,Kenya,USA na Uingereza basi huo ni upofu wa halo ya juu.
Wananchi wa sasa sio wale wa mwaka 47 kwahiyo hawadanganyiki na hivi vipropaganda uchwara vya ccm. Kwani ccm wamethibitika kushindwa kabisa kutekeleza ilani Yao ya uchaguzi ya 2010 na kujikita katika kufanya ghilba.
chadema ni saccos ya mtei na mkwe wake, wengine ni misukule tu hawajitambui
Wee ni kibaraka tu, baada ya kuupewa ukweli kuhusu ufisadi wa mbowe, ukatumwa hapa uje ufanye counter attack na kupotosha ukweli. mbowe ni jambazi na ni mwizi tu
mbowe alishajichafua mwenyewe tangu zamaniHuu mkakati wa kujaribu kumchafua Mbowe niliunasa na nikauanzishia thread hapa,lakini kwa sababu zisozoeleweka ama mazingira yenye utata thread yangu ikafungwa.
Baada ya kufungwa kwa thread ile tumeendelea kushuhudia buku Saba fc wanavyoanzisha kila aina ya threads za kumshambulia Mbowe.
Jambo moja la uhakika ni kwamba Mbpwe hachafuki. Mbowe ni mfanyabiashara anayefanya biashara kwa uwazi na analipa kodi inaypstahili kwa mujibu wa sheria.
Kama ccm wanadhani wanaweza kuwanusuru viongozi wao mafisadi walioficha mabilioni ya shilingi katika mabenki ya uswisi kwa hadaa ya kujadili Mbowe kununua nyumba Dubai Huku wakishindwa kubaini kwamba Ana nyimba SA,Kenya,USA na Uingereza basi huo ni upofu wa halo ya juu.
Wananchi wa sasa sio wale wa mwaka 47 kwahiyo hawadanganyiki na hivi vipropaganda uchwara vya ccm. Kwani ccm wamethibitika kushindwa kabisa kutekeleza ilani Yao ya uchaguzi ya 2010 na kujikita katika kufanya ghilba.
utamlipa kwa cheki, cash, M-pesa au njia gani!? Kutumia muda mwingi kuandika uzushi na kujitahidi kuwaaminisha watu wauamini. Tz ndio maana hatuendelei pamoja na kuwa na kila nyenzo ya kuleta maendeleo!Ukinionyesha sehemu nilipohalalisha ufisadi nitakulipa milioni 10.
Hii biashara ya chadema inalipa sana
Na bado mnazidi kumchangia mihela