Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

Mkuu this is too low to you, M4C imeanza lini na Mbowe kaanza kusaka hela lini? Ebu nijibu hilo swali then tuendelee. Kada piga kazi uongeze kipato chako, mambo ya siasa na propaganda zisizo na msingi achia wengine. Ina maana ushasahau kwamba mwingine 2 billion ni vijisenti kwake katika nchi masikini kama TANZANIA?

Kwani Richmond ilianza lini na Lowassa ameanza lini kusaka hela?

Twin towers za BoT zimejengwa lini na Liyumba ameanza lini kusaka hela?

Connect the dots...
 


jaman au mimi sielewi maana ya neno mradi..... magari pia pikipiki znazotmika kt harakati za mabadiliko aka M4C inahusiana na mradi? mm ili neno lmetmika isivo sahihi kwa kweli,

jaman, u guy ze marcopolo ni wazi haujajipanga au IQ yako ni ndogo to d extent u don know when and what to be spoken wher en when
dah nadhani si busara kuhuexpose ujinga wetu ata kama ni wajinga

ujumbe kwa mh mbowe, dr slaa, mzee wetu mzee mtei mshauri wa cdm ma ukweli na majembe yetu mengine yaliyoko chadema, tnawaomba mchape kazi, tna imani kubwa nanyi.

CCM wamechanganyiwa na soon watakufa kifo cha kawaida, wao kila maneno yao matatu, mawili lzm waitaje chadema
 
unajua waliokuja na msamiati wa ufisadi hapa Tz kama si CDM au unamiaka mingapi uenda nikawa nabishana strictly under 18,je waweza kunambia kwenye ile list of shame ya DR SLAA pale Mwembe Yanga ni viongozi gani wa CDM walitajwa tofauti na waccm? Au unadhani sisi hatujui historia ya nchi hii yupo wapi BALALI rip in hell.

Yaani vijana wa Bavicha ghafla mmebadilika.

Kujadili ufisadi uliofanywa BoT enzi za Mtei imekuwa ni kulalama!

Tangu lini kujadili ufisadi imekuwa kulalama? Kwahiyo Bavicha haitaki tena mijadala ya ufisadi?
 
Huyu jamaa angekuwa anaitafuta pesa kama maisha ya wanaume anavyoyadadisi nadhani angekuwa anakimbizana na kina DONGOTE hivi sasa. piga kazi na si kuchunguza midume utaja...................!

Wewe sio miongoni mwa waliomshangilia Dr. Slaa alipotoa list of shame pale Mwembeyanga? Mbona unamtukana Dr. Slaa kwa post yako hii...
 
Utajiri wa mtu unaweza kukadiriwa kwa kuangalia kiasi cha kodi anayolipa.

Kiasi cha kodi aliyolipa Mbowe kwa miaka 10 iliyopita hakiendani na utajiri huu mkubwa wa ambilioni aliyoficha nje ya nchi.

Hali iko hivyohivyo kwa Mzee Mtei ambaye ni mkwe wa Mbowe.

Ni mabilioni mangapi kaficha na amelipa kodi kiasi gani kwa hiyo miaka 10 na ana utajiri kiasi gani mkuu!
 
unajua waliokuja na msamiati wa ufisadi hapa Tz kama si CDM au unamiaka mingapi uenda nikawa nabishana strictly under 18,je waweza kunambia kwenye ile list of shame ya DR SLAA pale Mwembe Yanga ni viongozi gani wa CDM walitajwa tofauti na waccm? Au unadhani sisi hatujui historia ya nchi hii yupo wapi BALALI rip in hell.

Ulitegemea Slaa ajitaje kuwa amefanya ufisadi kwenye mradi wa maji Karatu ambako ameiba shilingi milini 400?
Soma hapa habarimpya.com - Dk Slaa atuhumiwa kula 400mil Karatu
 
hapo mwenyew unaona umeandika bonge la point?
 
Acheni kuchezea akili za watanzania ukweli ccm imechokwa mbaya na nyinyi na thread zenu za ajabu ajabu ndo mnaimaliza kabisa nyinyiemu yenu
 
Acheni kuchezea akili za watanzania ukweli ccm imechokwa mbaya na nyinyi na thread zenu za ajabu ajabu ndo mnaimaliza kabisa nyinyiemu yenu

Hii sio habari ya CCM au chama cha siasa. Hii ni habari ya ubadhilifu wa mali ya umma...
 
sasa kama alifanya ufisadi wa milioni 400 mbona hamjamkamata na kumfungulia mashtaka au ndio siasa uchwaara mliopandikizwa na nape ili muwachafue watu wanaopigania maslahi ya walala hoi? Badilika mkuu hadi hapa tulipofikia ni kutokana na udhaifu wa magamba hapa mjini hamna maji zaidi ya maji ya visima ''HARD WATER'' je kwanini hatupati maji safi unajua ufisadi uliofanywa na maghembe katika miradi ya maji Dar au ndio unajifanya umeweuka? Charity begins at home. Kabla ujazima moto kwa jirani anza na kwako kwanza.

Ulitegemea Slaa ajitaje kuwa amefanya ufisadi kwenye mradi wa maji Karatu ambako ameiba shilingi milini 400?
Soma hapa habarimpya.com - Dk Slaa atuhumiwa kula 400mil Karatu
 
Mbona umeandika story tuu hakuna actual figure ya fedha!mkuu kumbuka marehemu baba yake Mbowe ndiye aliyemfadhili nyerere kudai uhuru kwa ukwasi aliokua nao kabla hata BOT kuanzishwa
 
nawewe itafune umeshaamka au bado?

Huu ndio msimamo mpya wa Chadema?

Haya ndio mambo yanayomfanya Mohamedi Mtoi akate tamaa kushiriki harakati za Chadema.

Mtoi alidhani chadema inapiga vita ufisadi, kumbe inatafuta mwanya wa kufisadi!!!
 
Mtei alikuwa waziri wa fedha, alifanya kazi BOT, akafanya kazi shirika la fedha duniani (IMF) na mshahara aliokuwa analipwa si haba! Kuwa mkulima wa kahawa Tengeru si kwa sababu yeye ni askini! Mbowe wazazi wake ni wafanya biashara wa kumataifa hata kabla yeye hajazaliwa. Utajiri ameukuta! Mbowe kumwoa mtoto wa Mtei ni suala la mapenzi na halina uhusiano wowote na utajiri. Ulikuwa unataka binti yule aolewe na nani? Tunamshukuru Mungu kuwa Waanzilishi wa Chadema Mbowe akiwemo sio waganga njaa na hawakuanzisha chama ili kutafuta upenyo wa utaiiri kwani tayari wanao. Si Mtei wala Mbowe ambao wana kashfa ya kuhujumu uchumi! Tufike mahali tuone kuwa kuwa tajiri kwa njia halali ni ktu cha kawaida ambacho kila mmoja anataka. Tusiwachukie matajiri na huku tunawahusudu nafsini mwetu!
 
So what? kwamba Mtei na Mboe walikuwa BOT sasa ni matajiri wakubwa ndo Balali aibe na kukimbilia ugaibuni? Ndo ccm mchote ela umma? ndo nawe uibe? Mlinganyo wako Wa Mboe, Mtei na waficha pesa ulaya vinatusaidia nini? Unachotaka kutueleza hasa ni nini? Kwamba waliiba na sasa wengine waibe?,,,,acha siasa zisizoelezeka.
 
Mkuu Marcopolo tuambie Mbowe kwa miaka hiyo kumi amepata shilingi ngapi na alitakiwa kulipa kodi kiasi gani na sio hizi propaganda za lumumba.halafu Mkuu wewe ni Daktari wa binadamu nani amekuloga?
 
chama cha mapunda sithani kama mnajielewa,mnajadili vitu ambavyo havina mashiko hata kidogo, zeAndare hebu fikiria kidogo then ulete maada hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom