Mtego huu balaa, ingekuwa wewe binti ungeuchomoa

Mtego huu balaa, ingekuwa wewe binti ungeuchomoa

Sasa kama wewe bikra, wodi ya wazazi ulikuwa unatafuta nini? Seriously?

Sitashangaa baada ya miezi kadhaa akikuvua, ushaingia wodini.

Ili ujue yanayotendeka nawe ujiandae!
Ukimwona mwenzako anacholewa...... wewe tia maji tuuuuu
 
Ile ya bagamoyo, alikuja mwenyewe na kila mtu akaondoka kivyake!!!!
Was with my galfrends kupush wikend iende poa

Najua kuwa alikufuata na ulikuwa na friends....lakini katika matukio yote haya mawili ni rahisi kujua wewe ni mdada wa namna gani
 
Huna lolote uongo tu...niPM unipe namba yake nimwambie wife wangu akalale huko watu tukunje mavumba...mie ntalala na JD na housegal wangu sina shobo...

Jambo usilo lijua ni kama usiku wa giza!!!!

Uongo.... tulikuwa wote au............
 
Na umaskini huu..kuna watu wanacheze hela hivyo...na wakati unauza maneno unakula mzigo...hatari hii..kweli tupo tofauti...
 
Najua kuwa alikufuata na ulikuwa na friends....lakini katika matukio yote haya mawili ni rahisi kujua wewe ni mdada wa namna gani

Nambie watu8 mimi ni wa namna gani!!!!
Kama kweli nitakwambia kweli!!!
 
Hapana Kongosho!

Lengo ilikuwa aione kubwa na apotezee kumbe alimaanisha!!!!!!!

Usinielewe vibaya!!

U had no sense of wisdom.
Mil 5 ni nyingi kwa mtu anaepata $50,000=75,000,000 kwa siku.
Hii ni hatari.
 
Acha kutudanganya sie watu wazima bwana!Kuna sehemu nimepita nimekuta wahudumu(wafanya usafi) wanapiga stori eti wamekuta nguo ya ndani(chupi) ya mwanamke ofisini kwa bosi na kwa Avatar yako hiyo, itakuwa ya kwako tu(kwa mtu waliyekuwa wanamsaspect!)
 
ulikuwa tayari wewe sema tu akili ilijichanga baada ya kurudi,na ninaamini hata hizo 3.5ml uliondoka huku ukiziwaza mara mbili mbili.
what if jamaa ungesema 5ml alafu pale pale akakuhesabia si angejipakulia tena kwa kuchagua ama aende beijing ama aende tokyo.
AFU ungeanza kumwambia"sema chochote unachotaka mpenzi"
Akisema beijing twende kazi,akisema tokyo twende kazi na hapo no HIV test.
DON'T EVER TRY IT.
"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

Nilisha semaga money sio kivutio kwanguuuu kivileeee
Sasa....Wala sikuwaza kituuuu, ndo maana asubuhi hii nikaitolea njeeee!!!!

Napiga hesabu kabla cjaongea!!!
cash kama hiyooo cant be in the houseeeee!!!
Read pple & u shall leave well with them!!!!!
 
Nice story...

makeup story...hakuna mwanaume employee anayeweza kutaka kuhonga 3.5Mil kwa kuzini tu. tena for a night. 3.5ml is an investment to a future wife to be not an office hooker
 
Wala usiichukulie vibaya!!!!
Wanted experience kidogo!!

Thought we were joking!!!!!!!

Next time usikubali kwenda nyumbaqni kwa mwanaume kama hivi ulivyofanya.
Angeweza kufanya lolote, na usingekuwa na defence yoyote.
Maana, ungeulizwa, ulienda nyumbani kwake (kwa hiyari yako mwenyewe) kufanya nini ?? Hapo usingekuwa na jibu !!!
 
usituzingue hata wewe wakukataa M 3.5 na utamu juu??na vyeo kibao job?per DM
 
Mh take the money and tell him go to hell. i hate this kind of man stupid.
 
Back
Top Bottom