Credibility ninyin ndo mnarank nani ni Credibille na nani sio credibleTatizo credibility ya mwanakijiji ilishauzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Credibility ninyin ndo mnarank nani ni Credibille na nani sio credibleTatizo credibility ya mwanakijiji ilishauzwa
NImemtafsiri vibaya?! Tatizo wewe umejikita kwenye conclusion yake na umeacha utangulizi wake!Simpendi Sana Ndugai.Ni spika wa hovyo Sana tangu tuanze kuwa na bonge la vyama vingi.Anaendesha bunge kibabe na hujaribu kuua au kuzima hoja zote asizozipenda yeye binafsi.Bunge la Ndugai limegeuka kuwa taasisi ya kubariki kila kitu kutoka serikalini na ni vigumu kulitofautisha na caucus ya Chama cha mapinduzi!!
Pamoja na huu mtazamo wangu hasi kwa Ndugai na Bunge lake kwa ujumla lakini nikisoma hii nukuu ya alichokisema naona kwakweli umemtafsiri vibaya.Ukifuatilia mtazamo wa Ndugai huko nyuma kuhusu tozo,utaona kwamba anaunga mkono tozo moja kwa moja na anaona ikiwepo tozo nchi itaondokana na kukopa na hivyo kujiendesha yenyewe.Ukimsoma hapa anakazia mtazamo wake huo kuhusu tozo na mikopo.Anawaambia hao 'wasomi' umuhimu wa tozo na kwamba baada ya kupunguza tozo kutoka kwenye mafuta na miamala sasa Rais analazimika kukopa Ili mambo yaende.Kwahiyo an
naonya kama mtaamua kuwatoa hawa(kwa sababu ya tozo) na kuweka wengine 2025(ambao watakuwa hawana tozo kabisa ila wataendelea kukopa) basi itafikia mahala nchi itapigwa mnada.
Kwahiyo hajamsema Rais.Anawasema watu wanaopinga tozo na hapohapo wanataka maendeleo na nchi iweze kujitegemea.Anawauliza inawezekanaje?Kwahiyo anamsaidia Rais kuelimisha uma umuhimu wa tozo na kwamba kipi kitatokea endapo zitakuwa hazipo.Kwamba kama wanataka basi wawatoe hawa wa tozo 2025 na waweke wa mikopo,wakope mpaka nchi ipigwe mnada.
Kwakweli ametafsiriwa vibaya na sijajua watu ni chuki tuu kwa Ndugai ndo wanajifanya hawaelewi hoja yake au ni kweli hawaelewi.Ningekuwa mimi ni Ndugai ningejiuzuru baada ya kujua kuwa hata Rais nae hajaelewa hoja yake au labda ameelewa vizuri kabisa ila nae ameamua kutumia mwanya huohuo kumuangusha kisiasa.Ajiuzuru kwakuwa amejua Rais hampendi na amemuweka kwenye kundi la wanaompinga ndani ya Chama chao.Chochote atakachofanya au kusema Rais atakiangalja kwa jicho la uadui.Kwakweli anapaswa kujiuzuru kwakuwa haiwezekani tena kufanya Kazi na Rais mwenye mtazamo huo kwake kama spika wa bunge.
Asimame aufute ule msamaha aliouomba(kwa nia njema kabisa ya kujishusha kwa Rais wake hata kama hakumuelewa) ajiuzuru nafasi yake kwa kueleweka vibaya ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya ....(Ila ni kwa makusudi)!!
Sasa hapo unatakiwa ujiongeze. Leo ni siku ya tatu Ndugai hajajiuzulu, unadhani wana weza kumuondoa kwa kura ya kuto kuwa na imani? Rais Samia atapata wapi theluthi mbili ya wabunge? Kumbuka Ndugai haja sema kila kitu........( ) unajua ni kwanini mkopo huu umekopwa bila kupitia Bungeni?? TAFAKARI.Kwa Hali ulivyo sioni namna ya ndugai kuendelea kuwa spika kwa Hilo lililotokea, anapaswa kujiuzulu au kuondolewa.Mama kakataa msamaha wake
Kama vipi avunje bunge aone kama hajarudi kwao Zanzibar.Unaonekana unaongea kishabiki ndugu.
1) Nani kakwambia Mama hawajui maadui zake na idadi yao?? Unamchkulia poa???
2) Yaani wewe hujui kwamba Rais ndio kila kitu ndani ya nchi hii. Kweli hujui hilo?? Unaikumbuka kesi ya uamsho??? Iliishaje???
3) Kwenye kamati kuu watu wa Mama ni wawili tu?? Like seriously? Huoni kama kuna Wazanzibari mpaka huko Njombe na Ilemela??
4) Ndugai ni wa kupuuzwa na hana nguvu yoyote mnayotaka kumpa. Walimtanguliza kikatuni chao slow slow akagonga mwamba chap kwa haraka, na hakuna yeye na genge lake walichoweza kufanya.
5) Nani aliekwambia wenyeviti mikoa sio watu wanaotakiwa kumpa imani Mheshimiwa rais?? Uliwaona Jana Ikulu?? Hivi wewe ulikuwa umekaa kwa upande gani pale??
6) Haya maneno ya watu hawako tayar kuongezwa na mwanamke ni ujinga tu. Huu ni mwaka sasa unamalizika na Mama ndie Rasi wetu
7) Mtu wenu hana namna zaidi ya kuachia ngazi tu. Sio suala la wewe kupenda au kutokupenda. Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amir jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama na ni MWENYEKITI WA Chama Cha mapinduzi.
Namkubali mama kwa kuacha unafiki na kumpasulia Ndugai mayai viza. Unafiki wa viongozi waliopita kusameheana kienyeji ndio ulioifikisha nchi hii hapa ilipo. Hongera mama Rais Samia kwa kuonyesha msimamo thabiti na ukomavu wa kisiasa. Tupo nyuma yako ✍️Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?
Tunasimama na Mama.Namkubali mama kwa kuacha unafiki na kumpasulia Ndugai mayai viza. Unafiki wa viongozi waliopita kusameheana kienyeji ndio ulioifikisha nchi hii hapa ilipo. Hongera mama Rais Samia kwa kuonyesha msimamo thabiti na ukomavu wa kisiasa. Tupo nyuma yako ✍️
Wale wagonga meza ni wazee wa tumbo-cracy na ugali-nomicsWale wabunge wana nafasi nzuri sana kwenye kuamua hili suala, ni either wapige kura ya kutokuwa na imani na Samia au kutokuwa na imani na Ndugai, kwao kuendelea kukaa kimya ni unafiki wasilete habari ya kulinda chama zaidi ya kulinda interests za nchi.
Kuwa na mihimili miwili isiyoelewana ni tatizo, kwa sababu yote hufanya kazi kwa kushirikiana, na kwa namna fulani inategemeana. Naona Samia ameaminiwa kwa kauli yake ya anajenga nchi hataki watu wamharibie, huu kwangu ni usanii tu.
Wakati yeye ndie aliekuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzie 2025 ni zamu yao, kama alidhani alikuwa anapiga umbea kwenye kikao cha wanawake wenzake ajue wanaume walijua vita ndio imeshatangazwa, sasa apigane asijifiche kwenye kisingizio cha najenga nchi na kutaka kutumbua mawaziri wanaojipanga, anawaonea.
Ushawahi sikia Samuel Sitta anaomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili! (enzi hizo alikua JK)
Kwa kifupi Job Ndugai kakosea alitakiwa aendelee kuvimba, yeye ni muhimili tofauti, na inashangaza mwanaume gani anakuwa mwepesi mwepesi kuomba msamaha tena kwa she!
Na raha ya mama yuko wazi kwa anachokisudia na hapepesi macho kudangaya Ili apate sifa za kipumbavu.Namkubali mama kwa kuacha unafiki na kumpasulia Ndugai mayai viza. Unafiki wa viongozi waliopita kusameheana kienyeji ndio ulioifikisha nchi hii hapa ilipo. Hongera mama Rais Samia kwa kuonyesha msimamo thabiti na ukomavu wa kisiasa. Tupo nyuma yako ✍️
Mtego umenasa.... wataenda kumvua uanachama na hivyo kupoteza Ubunge.. ataungana na G19.Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?
Nakiona kibarua kizito hapo mbeleSi mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?
Tumeshaingia Sasa....Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?