Mtego Aliojitegea Rais Samia, nani atauvunjilia?

Ngoja nivute katiba ya 1977 ilifanyiwa marekebisho.
Nichukue na rasimu ya katiba ya Warioba.
Halafu nione nani ni nani ,wakati gani na wapi?

Huu mchezo kila mmoja acheze kwa tahadhari. La sivyo Jeshi linaweza kuichukua nchi kwa muda kidogo mambo yakilekebika.
Nani ajuaye kuwa bunge la ccm ambalo linahisi kuna uzanzibari lita vote kukasa imani na Ndugai?

Huu mtego mama asije kuingizwa king halafu kete zake zikaliwa zote.
Maana ili amle kirahisi awe na wabunge watakao mshabikia mama Tanganyika walio wengi ambao wanaridhishwa na mgawo wa Tozo za simu za Tz bara kugawiwa visiwani.
Labda atangaze fasta kulivunja bunge na baraza la mawaziri.
Lkn hii yooote mama ya nini, ninavyomdhania ni mwelevu na angekaa kumyaaa akaendelea kuchapa kazi wale wa kuongea na fever zao za 2025 mwisho wangekaa kimya. Maana mtoto mdogo halali na hela mkononi.
Nani alimwambia aje kujibishana nao? Walitosha aliowandaa akina Gavana wa benki na wengine wamujibu kwa capacity zao.

Dalili za kutochomoka 2025 zimeanza kuonekana. Genge la ccm B linazidi. Uzuri alikumbuka ule wimbo "tuna imani na ...... oya oyaaa oyaaa" na UNAFIKI ukiwa mwingi. AMEKUMBUKA sasa AELEWE.

Job amejipangaje na sala yake ya KITUBIO? Ajue Intel Sec wa kila kada wanamlia rada wametumwa .
Tunataka Royal people kwa Country sio wachumia tumbo na walamba viatu
Eti jeshi lifanye nini?, Ujue kwa nchi kama za hivi ni ngumu sana,, unapewa ukubwa kumbe pembeni kuna kichomi, ukijichanganya tu ndo utajua hujui,,
Kila mtu anamlinda mtu

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wale wabunge wana nafasi nzuri sana kwenye kuamua hili suala, ni either wapige kura ya kutokuwa na imani na Samia au kutokuwa na imani na Ndugai, kwao kuendelea kukaa kimya ni unafiki wasilete habari ya kulinda chama zaidi ya kulinda interests za nchi.

Kuwa na mihimili miwili isiyoelewana ni tatizo, kwa sababu yote hufanya kazi kwa kushirikiana, na kwa namna fulani inategemeana. Naona Samia ameaminiwa kwa kauli yake ya anajenga nchi hataki watu wamharibie, huu kwangu ni usanii tu.

Wakati yeye ndie aliekuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzie 2025 ni zamu yao, kama alidhani alikuwa anapiga umbea kwenye kikao cha wanawake wenzake ajue wanaume walijua vita ndio imeshatangazwa, sasa apigane asijifiche kwenye kisingizio cha najenga nchi na kutaka kutumbua mawaziri wanaojipanga, anawaonea.
Wewe ndiyo umemaliza mkuu.
Kongole sana kwa andiko murua.
Kunya anye kuku,akinya bata kaharisha.
 
Ile ilikuwa kazi wale wenyeviti wa CCM mikoa waliyopewa kumpinga Ndugai ndio maana jana wakaitwa ikulu kupongezwa kwa "kazi nzuri" waliyoifanya.

Hapo ukiangalia vizuri utaona Samia binafsi ameshaanza kujipanga kwa 2025, ila hataki wengine wajipange, akiulizwa anakimbilia najenga nchi, huu ni uongo, anacheza na akili za wajinga.

Wamechezea rasilimali za taifa kuwapa wazungu bure leo wanaona sifa kukopa, na kuna kundi kubwa la wajinga wameagizwa toka mikoani kuja Dsm kushangilia, hizi akili ndogo zimeigeuza ikulu yetu kijiwe cha kupiga umbea na kuimba mipasho.

Sasa nawashauri wote waanze kujipanga kwa 2025 hii nchi haina haja ya kuwa na Rais wala Spika, inaweza kujiendea tu, kila siku tunalia umasikini, hakuna maji safi na salama wakati hawa miaka yote wapo tu hawajui wanachofanya, bora wapigane niangalie vita yao.
Madini tupu haya ndugu denooJ .
Kongole sana.
Mungu akubariki.
Sina cha kuongeza zaidi ya kusema "kuwe na uwanja sawa wa kushindana".
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Ndugu wa Marehemu gombaneni tu sisi kazi yetu kukoleza kuni moto uwake vizuri
 
Ile ilikuwa kazi wale wenyeviti wa CCM mikoa waliyopewa kumpinga Ndugai ndio maana jana wakaitwa ikulu kupongezwa kwa "kazi nzuri" waliyoifanya.

Hapo ukiangalia vizuri utaona Samia binafsi ameshaanza kujipanga kwa 2025, ila hataki wengine wajipange, akiulizwa anakimbilia najenga nchi, huu ni uongo, anacheza na akili za wajinga.

Wamechezea rasilimali za taifa kuwapa wazungu bure leo wanaona sifa kukopa, na kuna kundi kubwa la wajinga wameagizwa toka mikoani kuja Dsm kushangilia, hizi akili ndogo zimeigeuza ikulu yetu kijiwe cha kupiga umbea na kuimba mipasho.

Sasa nawashauri wote waanze kujipanga kwa 2025 hii nchi haina haja ya kuwa na Rais wala Spika, inaweza kujiendea tu, kila siku tunalia umasikini, hakuna maji safi na salama wakati hawa miaka yote wapo tu hawajui wanachofanya, bora wapigane niangalie vita yao.
Waache waoneshane makali ili hata wakifanikiwa kulimaliza hili salama (kama watalimaliza salama), waweze kuheshimiana.
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Mtu mzima bado hekima unayoz Kuna posts ukiziona unajiuliza huu unafiki wa watu taifa litaendelea kweli??? Mambo ya Kenya yanakuja kwetu, ajabu sana
 
Now you are back.
We missed you bro.

Hoja hii makini sana.

Samia ameshatishwa na tetesi zinazoenea kwa kasi hivyo ameona wacha aoneshe makali kidogo..
makali ni kufukuza fungua mastaka ya uhujumu uchumi matepeli hayo ..
 
Wale wabunge wana nafasi nzuri sana kwenye kuamua hili suala, ni either wapige kura ya kutokuwa na imani na Samia au kutokuwa na imani na Ndugai, kwao kuendelea kukaa kimya ni unafiki wasilete habari ya kulinda chama zaidi ya kulinda interests za nchi.

Kuwa na mihimili miwili isiyoelewana ni tatizo, kwa sababu yote hufanya kazi kwa kushirikiana, na kwa namna fulani inategemeana. Naona Samia ameaminiwa kwa kauli yake ya anajenga nchi hataki watu wamharibie, huu kwangu ni usanii tu.

Wakati yeye ndie aliekuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzie 2025 ni zamu yao, kama alidhani alikuwa anapiga umbea kwenye kikao cha wanawake wenzake ajue wanaume walijua vita ndio imeshatangazwa, sasa apigane asijifiche kwenye kisingizio cha najenga nchi na kutaka kutumbua mawaziri wanaojipanga, anawaonea.
Tuige majirani zetu Kenya, mpaka naibu rais Ruto alionesha mapema kuutaka urais na kupishana na boss wake kwa kuwa ana mwelekeo mwingine. Hata wakenya wengine pia walionesha mapema mwelekeo wao wa uchaguzi ujao. Isiwe dhambi pale ambapo mtu ana haki ya kugombea na akaonesha nia mapema aidha ya yeye mwenyewe kugombea ama kumuunga mtu mwingine aliye na nia ya kugombea. Mbaya ni uvunjaji wa sheria.
 
Siasa mchezo mchafu .
20220105_140747.jpg
 
Hivi hao wabunge wa hilo lichama wanaweza kupiga kura ya kutokuwa na Imani na huyo rais wao.na mwenyekiti wa.hilo lichama ?.Kwa jinsi walivyo hilo.ni siyo rahisi. Maana walio wengi wanaweka maslahi yao mbele kwanza kuliko.kitu chochote.
 
It is better the parliament is dissolved and a new election is arranged for the best interests of the country, we can't have two prominent pillars undermining each other in public this is gross derogatory to the voters.

Both pillars chiefs did it wrong to attack each other in public without considering the adverse attitude implications to the citizens; they have damaged respect, they lacked wisdom and knowledge on mirror issues that could have been resolved internally.

The sitting government shall not prevail if it continues behaving the way it demonstrates now
😁😂🤣
 
Ushawahi sikia Samuel Sitta anaomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili! (enzi hizo alikua JK)

Kwa kifupi Job Ndugai kakosea alitakiwa aendelee kuvimba, yeye ni muhimili tofauti, na inashangaza mwanaume gani anakuwa mwepesi mwepesi kuomba msamaha tena kwa she!
Mkuu kwa muktadha huo huo, tuambir ni lini SITTA aliropoka nje ya BUNGE hayo mashudu??
 
Wale wabunge wana nafasi nzuri sana kwenye kuamua hili suala, ni either wapige kura ya kutokuwa na imani na Samia au kutokuwa na imani na Ndugai, kwao kuendelea kukaa kimya ni unafiki wasilete habari ya kulinda chama zaidi ya kulinda interests za nchi.

Kuwa na mihimili miwili isiyoelewana ni tatizo, kwa sababu yote hufanya kazi kwa kushirikiana, na kwa namna fulani inategemeana. Naona Samia ameaminiwa kwa kauli yake ya anajenga nchi hataki watu wamharibie, huu kwangu ni usanii tu.

Wakati yeye ndie aliekuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzie 2025 ni zamu yao, kama alidhani alikuwa anapiga umbea kwenye kikao cha wanawake wenzake ajue wanaume walijua vita ndio imeshatangazwa, sasa apigane asijifiche kwenye kisingizio cha najenga nchi na kutaka kutumbua mawaziri wanaojipanga, anawaonea.
Eti kupiga umbeasiasa ngumu aiseee
 
Hii busara ilitakiwa ianze kwa Supika kwenda kumuona Rais na kumpa dokezo kiuongozi, kwenda public na kuhoji huku ukikebehi "nchi itapigwa mnada" zaidi ya hapo unasema wataamua 2025 mkitaka kuweka wa kukopakopa, huku kulikuwa ni kupungukiwa busara kwa hali ya juu.

Na retaliation yake ndio hii watu msije kumuona Rais amekosea kumjibu public kwasababu yeye aliongea public basi naye acha ajibu public ndio waende huko ndani wakamalizane, hauwezi kuharibu image ya mwenzako yeye akae amekuangalia tuu.
Mama kazid kuwananga wanaume acha na wao wajibu mapigo
 
Si mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.

Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.

Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.

Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.

Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?

Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Hapo ndipo msemo wa mhimili wa utawala umezama zaidi unatimia na uhitaji wa katiba mpya unadhihirika.
 
Ngoja nivute katiba ya 1977 ilifanyiwa marekebisho.
Nichukue na rasimu ya katiba ya Warioba.
Halafu nione nani ni nani ,wakati gani na wapi?

Huu mchezo kila mmoja acheze kwa tahadhari. La sivyo Jeshi linaweza kuichukua nchi kwa muda kidogo mambo yakilekebika.
Nani ajuaye kuwa bunge la ccm ambalo linahisi kuna uzanzibari lita vote kukasa imani na Ndugai?

Huu mtego mama asije kuingizwa king halafu kete zake zikaliwa zote.
Maana ili amle kirahisi awe na wabunge watakao mshabikia mama Tanganyika walio wengi ambao wanaridhishwa na mgawo wa Tozo za simu za Tz bara kugawiwa visiwani.
Labda atangaze fasta kulivunja bunge na baraza la mawaziri.
Lkn hii yooote mama ya nini, ninavyomdhania ni mwelevu na angekaa kumyaaa akaendelea kuchapa kazi wale wa kuongea na fever zao za 2025 mwisho wangekaa kimya. Maana mtoto mdogo halali na hela mkononi.
Nani alimwambia aje kujibishana nao? Walitosha aliowandaa akina Gavana wa benki na wengine wamujibu kwa capacity zao.

Dalili za kutochomoka 2025 zimeanza kuonekana. Genge la ccm B linazidi. Uzuri alikumbuka ule wimbo "tuna imani na ...... oya oyaaa oyaaa" na UNAFIKI ukiwa mwingi. AMEKUMBUKA sasa AELEWE.

Job amejipangaje na sala yake ya KITUBIO? Ajue Intel Sec wa kila kada wanamlia rada wametumwa .
Tunataka Royal people kwa Country sio wachumia tumbo na walamba viatu
Hizi akili huwa mnazitoa wapi za kutaka jeshi lichukue nchi???
 
Back
Top Bottom