Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,456
- 45,747
Kwanini unashindwa kuelewa kuwa Speaker ndio alikuwa wa kwenda Ikulu na kumuona Rais na kutoa hoja zake
Lakini alipoamua kwenda public hiyo inadhihirika kabisa kulikuwa na bifu kali kati yao
Ila alichosahau Job ni kuwa alikuwa anamnanga CiC hapo ila kwa hasira zake yote hayo aliyasahau
Wote tunajua mbio za miaka mitano huwa zinaanza mapema na tumeshuhudia marais waliopita wakiongelea hilo mara kwa mara kuwa jamani Kipenga bado
Hapo pamoja na yote job ajishushe tu au aachie ni moja kati ya hayo
Lakini alipoamua kwenda public hiyo inadhihirika kabisa kulikuwa na bifu kali kati yao
Ila alichosahau Job ni kuwa alikuwa anamnanga CiC hapo ila kwa hasira zake yote hayo aliyasahau
Wote tunajua mbio za miaka mitano huwa zinaanza mapema na tumeshuhudia marais waliopita wakiongelea hilo mara kwa mara kuwa jamani Kipenga bado
Hapo pamoja na yote job ajishushe tu au aachie ni moja kati ya hayo