The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Naona haya ni mabadiliko ambayo watanzania wengi wanataka...
1. Kuvunja Muungano..
Huu Muungano na uvunjwe Tu kuliko kutumia Damu za watu kuulinda..
2. Kuifuta CCM..
Hiki chama hakiwezi kabisa kushindana bila kuiba kura wala ubabe na vurugu.
Kwa afya ya Demokrasia yetu kivunjwe na kipigwe marufuku kushiriki siasa, kibaki kwenye history Tu.
3.Katiba Mpya
Kila tukitaka katiba mpya zoezi
linaharibika kwa sababu ya Muungano
Tukishavunja Muungano
Katiba mpya itakuwa rahisi kuifikia..
4 Cheo cha Waziri Mkuu kifutwe.
Hiki cheo kinakuwepo sababu ya Muungano. Bila Muungano makamu wa Rais atafanya shughuli zote za Waziri Mkuu. Hakuna sababu ya kuwepo hiki cheo.
5. Mengineyo ongezea..
1. Kuvunja Muungano..
Huu Muungano na uvunjwe Tu kuliko kutumia Damu za watu kuulinda..
2. Kuifuta CCM..
Hiki chama hakiwezi kabisa kushindana bila kuiba kura wala ubabe na vurugu.
Kwa afya ya Demokrasia yetu kivunjwe na kipigwe marufuku kushiriki siasa, kibaki kwenye history Tu.
3.Katiba Mpya
Kila tukitaka katiba mpya zoezi
linaharibika kwa sababu ya Muungano
Tukishavunja Muungano
Katiba mpya itakuwa rahisi kuifikia..
4 Cheo cha Waziri Mkuu kifutwe.
Hiki cheo kinakuwepo sababu ya Muungano. Bila Muungano makamu wa Rais atafanya shughuli zote za Waziri Mkuu. Hakuna sababu ya kuwepo hiki cheo.
5. Mengineyo ongezea..