JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Nambie kaka
Ila ile kesi ya babu seya nimesikia sikia kuwa ilikuwa ya kutengeneza tu na haikuwa na ukweli ndani yake ndio maana raisi kawatoa. Ila wabakaji na walawiti huwa wanapata msamaha wa raisi?
..kesi ya kutengeza ndiyo ushindwe mpaka mahakama ya rufaa na ya afrika mashariki?
..wale ni mashoga na walawiti na Jpm alishikana nao mkuu ikulu.
..sasa tuambie alichosema Lissu unaweza kufananisha na alichotenda Jpm?