unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,047
Kiuhalisia Diamond anaweza zaid ya Ally yaan this time naangalia this new song Nana najiuliza hivi Ally Kiba anaweza akafanya mambo makubwa kama haya?
Then I can see Diamond management wana plan za mbali zaid ya Ally kwan wao wanaongea maneno but upande wa diamonds wanaongea kazi so kama ni wewe unaona nan anaweza hapo tule anayeongea tu hatuoni kazi au yule anayetoa kazi na kupata airtime all over the Africa ?
Una maana huoni kazi wakati kila radio unayotune lazima ukutane na mwanadar es salaam. Mbona mnajifanya maskio mmeziba pamba??? Hahahahah!! Hivi hujasikia wasouth wanataka rekebisha hiyo NANA?
Domo hana pumzi, wanataka kumsaidia kidogo walau sauti itoke!!! Chezea laana za davido wewe!! Mnafikiri kufanya kazi na wanigeria ndo kutoka??! Hahahahhaahhahaha kiba hahitaji kolabo ili atoke bebe!