Mtazamo: Wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014 wanastahili kupata mserereko

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
Haya ni maoni yangu binafsi kama tujuavyo mara baada ya Raisi magufuli kuingia madarakani haki MBALIMBALI za wafanyakazi ikiwemo nyongeza ya mishahara na kupanda madaraja vyote vilisimama,

Na kupekelekea wafanyakazi wengi ikiwemo walioajiriwa mwaka 2014 kusota na mshahahara ule ule.
Hatimaye mwaka 2021 (miaka Saba ) baadae ndio Mtumishi huyu anapanda daraja,


Wapo pia ambao walipanda madaraja yao na kunyang'angwa na ndipo serikali hii ya Mama Samia ikaona angalau nao wapande mserereko,
Hata hivyo Kwa hoja ya kupanda angalau miaka minne

Basi mwaka 2022 walioajiriwa mwaka 2014 tayari ni miaka 8 wakiwa na daraja Moja!.

Serikali pia inaweza kuwatazama na hawa pia ili kubalansi kumbuka kutopanda daraja Kwa wakati Kuna madhara makubwa wakati wa kustaafu

Nawasilisha
 
Haya ni maoni yangu binafsi kama tujuavyo mara baada ya Raisi magufuli kuingia madarakani haki MBALIMBALI za wafanyakazi ikiwemo nyongeza ya mishahara na kupanda madaraja vyote vilisimama,

Na kupekelekea wafanyakazi wengi ikiwemo walioajiriwa mwaka 2014 kusota na mshahahara ule ule.
Hatimaye mwaka 2021 (miaka Saba ) baadae ndio Mtumishi huyu anapanda daraja,


Wapo pia ambao walipanda madaraja yao na kunyang'angwa na ndipo serikali hii ya Mama Samia ikaona angalau nao wapande mserereko,
Hata hivyo Kwa hoja ya kupanda angalau miaka minne

Basi mwaka 2022 walioajiriwa mwaka 2014 tayari ni miaka 8 wakiwa na daraja Moja!.

Serikali pia inaweza kuwatazama na hawa pia ili kubalansi kumbuka kutopanda daraja Kwa wakati Kuna madhara makubwa wakati wa kustaafu

Nawasilisha
wewe unaongelea wa 2014,wakati wapo wa 2012 wamepanda mara Moja tu!!!.
 
Kama Kuna wa mwaka 2012 na 2013 ambao pia wamepanda mara moja nadhani ni wakati sasa na wao wapate mserereko
 
Je wa mwaka 2012 wamepanda mara moja tu hadi sasa na walitakiwa kupanda mwaka 2016.
Wakapanda mwaka 2019 unaona ni miaka mingapi hapo?
 
Mimi kwa upande wangu nilibahatika kuhama kutoka TAMISEMI kwenda Shirika la Umma nakula mema ya nchi.
Nina mshahara, posho, airtime, nyumba ya kuishi, na usafiri wa kubebwa bure kwenda kazini na kurudi nyumbani..
 
Back
Top Bottom