Kwa tetesi ninazosikia gambo atatangazwa.Kama hakuna fomu, anatangazwa Gambo.
Wapinzani wametendewa sivyo ndivyo..Na hii ni moja ya ngome za Chadema!!
Bora iwe hivyo ili wananchi vichwa ngumu wapate akiliHakuna uchaguzi kuna ubakaji kura, sasa CCM inaenda ikulu kwa njia haramu za kishetani
Hayo matokeo yako wapi?Nasikia gambo anaongoza kamuacha kwa mbali sana lema jimbo limeenda ccm
Inawezekana mkuu kuna Malaya mmoja waccm namsikia anaropoka hapo nje.Hayo matokeo yako wapi?
Kwani ukumchagua Tundu Lisu bila kufanya kazi kwa juhudi utapata pesa? Tatizo lenu mnadhani hao watu wenuwa chadema wana uchungu sana na nyie? Ni wachumia tumbo tuNi kweli kwa miaka mitano mbele mbona tutazeeka kabla ya wakati wetu mi nawasubiri wale wa ccm mbele kwa mbele ole nisikie mtu analalamika hana hela ni mitusi tu kwa kwenda mbele
Subiria tu mkuu kesi za kupinga matokeo,wapinzani wengi NEC haijawatendea haki mawakala wao.Sasa jamani, kwenye kampeni walikuwa wanahubiri jinsi ya kutufanya mashoga, kutukana, kutuweka rehani kwa mabeberu bila kusema chochote juu ya mahitaji yetu na maendeleo ya nchi, hivi mlitegemea kura zetu tuziharibu kwa kuwapigia wao? Ndo wajifunze!
Kwa hiyo hakutakuwa na mshindi? Au unaongelea matokeo yenu...Huko Arusha Lema anamedai kupitia twitter kuwa karibu Jimbo zima la Arusha Mjini hakuna fomu za kujaza matokeo.
Sawa, kufungua kesi ni haki ya kikatiba na kisheria; lakini this time chadema's bar was too low!Subiria tu mkuu kesi za kupinga matokeo,wapinzani wengi NEC haijawatendea haki mawakala wao.
Kwahiyo umefurahi wabunge wa upinzani kutokuwepo bungeni?Kama umefatilia vizuri, nidhahiri nia ya chama tawala ni kuchukua viti vyote vya ubunge nchini.
Fatilia uzuiaji wa mikutano kwa Wapinzani kwa miaka mitano, vyombo vya habari kufungwa midomo na kuanza kus-support chama tawala, kauli za utata za NEC, wakurugenzi kupigwa mkwara endapo watatangaza wapinzani na ilihali yeye kawateua, kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi kupingwa chini, vioja vya kusimamishwa na NEC, polisi kuvuruga mikutano ya upinzani bila kusahau matukio ya leo ya kura.
Usisahau kuna wabunge 28 wamepita bila kupingwa tayari.
Hofu yangu kuna uwezekano kipindi hiki wabunge wa upinzani wasifike hata kumi kama sio watano, ngoja tuone mchezo.
Natazama naona jamaa akikaa madarakani kwa miaka 30 ole wao wale wote wanaoshangilia hii dhuluma wakidhani wako salamaUsihangaishe sana nafsi yako Mkuu, mambo hufanywa kwa makusudio maalum "Katiba inakwenda kubadilishwa na sheria mpya zinakuja!"
Usishangae tukawa na "movement" kama ya m7!!
Nawaza tu...
Hata mie naiona hii, Speaker nduagai, wabunge wote wa ccm sheria kupitishwa jamaa kutawala miaka 35Ngoja wakamuongezee jiwe kikomo Cha uraisi
Endeleeni KuotaMkuu usihofu
ICC in a move
Ushindi batili unashughulikiwa
Tukutane ng'ambo ile
Bado mapema sana kukata tamaa
Kuna Tamko laja
Tulia
Tutaelewana
Hata akae Miaka 40Nasikia majimbo yote ccm inaongoza,
Natazama naona jamaa akikaa madarakani kwa miaka 30 ole wao wale wote wanaoshangilia hii dhuluma wakidhani wako salama
Utaviibua wewe Hivyo Vikundi auKwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuchekelea hii hali maana tunajua akili za CCM zilivyo nchi watajimilikisha rasmi...na najua rasmi Tanzania yetu itaingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe maana pataibuka vikundi vya waasi.
Watanzania wanafurahisha saana matokeo tutayaona sote huko mbeleni.Huu mkakati wakiendelea nao hautawafaa kabisa. Watazidi kupoteza kuungwa mkono na wananchi.