Mtazamo: Upinzani Bungeni kwaheri?

Mtazamo: Upinzani Bungeni kwaheri?

Payson

Member
Joined
Oct 28, 2020
Posts
35
Reaction score
16
Kama umefatilia vizuri, nidhahiri nia ya chama tawala ni kuchukua viti vyote vya ubunge nchini.

Fatilia uzuiaji wa mikutano kwa Wapinzani kwa miaka mitano, vyombo vya habari kufungwa midomo na kuanza kus-support chama tawala, kauli za utata za NEC, wakurugenzi kupigwa mkwara endapo watatangaza wapinzani na ilihali yeye kawateua, kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi kupingwa chini, vioja vya kusimamishwa na NEC, polisi kuvuruga mikutano ya upinzani bila kusahau matukio ya leo ya kura.

Usisahau kuna wabunge 28 wamepita bila kupingwa tayari.

Hofu yangu kuna uwezekano kipindi hiki wabunge wa upinzani wasifike hata kumi kama sio watano, ngoja tuone mchezo.
 
Ni kweli kwa haya yanayoendelea nchini ni bora mbaki ccm tupu bungeni ili msinzie vizuri na wananchi wapumbavu wanayoichagua ccm akili iwakae sawa pale maisha yatakapobana balaa
 
Kama umefatilia vizuri, nidhahiri nia ya chama tawala ni kuchukua viti vyote vya ubunge nchini.

Fatilia uzuiaji wa mikutano kwa wapinzani kwa miaka mitano, vyombo vya habari kufungwa midomo na kuanza kus-support chama tawala, kauli za utata za NEC, wakurugenzi kupigwa mkwara endapo watatangaza wapinzani na ilihali yeye kawateua, kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi kupingwa chini, vioja vya kusimamishwa na NEC, polisi kuvuruga mikutano ya upinzani bila kusahau matukio ya leo ya kura.

Usisahau kuna wabunge 28 wamepita bila kupingwa tayari.

Hofu yangu kuna uwezekano kipindi hiki wabunge wa upinzani wasifike hata kumi kama sio watano, ngoja tuone mchezo.
Huu si uchaguzi bali ni maigizo ya NECCCM Tumeccm kumpachika Mkoloni kaburu mweusi ikulu kwa njia haramu za kishetani
 
Kama umefatilia vizuri, nidhahiri nia ya chama tawala ni kuchukua viti vyote vya ubunge nchini.

Fatilia uzuiaji wa mikutano kwa wapinzani kwa miaka mitano, vyombo vya habari kufungwa midomo na kuanza kus-support chama tawala, kauli za utata za NEC, wakurugenzi kupigwa mkwara endapo watatangaza wapinzani na ilihali yeye kawateua, kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi kupingwa chini, vioja vya kusimamishwa na NEC, polisi kuvuruga mikutano ya upinzani bila kusahau matukio ya leo ya kura.

Usisahau kuna wabunge 28 wamepita bila kupingwa tayari.

Hofu yangu kuna uwezekano kipindi hiki wabunge wa upinzani wasifike hata kumi kama sio watano, ngoja tuone mchezo.
Ikitokea wakafanya hivyo ni sawa tu,hakuna namna mkuu.
Lakini no tutaisoma wote,maana bila upinzani madhubuti hakuna Wa kumkemea mwenzake,usihofu maisha yataendelea tu.
 
Ni kweli kwa haya yanayoendelea nchini ni bora mbaki ccm tupu bungeni ili msinzie vizuri na wananchi wapumbavu wanayoichagua ccm akili iwakae sawa pale maisha yatakapobana balaa

kumbuka hapa ndipo watatumia fursa ya kubadili kabiba na kumpa atawale milele jiwe
 
Kama umefatilia vizuri, nidhahiri nia ya chama tawala ni kuchukua viti vyote vya ubunge nchini.

Fatilia uzuiaji wa mikutano kwa wapinzani kwa miaka mitano, vyombo vya habari kufungwa midomo na kuanza kus-support chama tawala, kauli za utata za NEC, wakurugenzi kupigwa mkwara endapo watatangaza wapinzani na ilihali yeye kawateua, kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi kupingwa chini, vioja vya kusimamishwa na NEC, polisi kuvuruga mikutano ya upinzani bila kusahau matukio ya leo ya kura.

Usisahau kuna wabunge 28 wamepita bila kupingwa tayari.

Hofu yangu kuna uwezekano kipindi hiki wabunge wa upinzani wasifike hata kumi kama sio watano, ngoja tuone mchezo.
Hawatofika hata 3
 
Ni kweli kwa miaka mitano mbele mbona tutazeeka kabla ya wakati wetu mi nawasubiri wale wa ccm mbele kwa mbele ole nisikie mtu analalamika hana hela ni mitusi tu kwa kwenda mbele
 
Ni kweli hata mimi hii nishaona na ningependa wapinzani wakae kimya tu ccm wafanye wanavyotaka labda wananchi watajifunza kitu..

Walimdharau Mangekimambi wakati anapigania taifa sasa amepotezea
 
Back
Top Bottom