Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,093
- 144,558
- Thread starter
- #81
Yaani hawa mabeberu hawajui sisi ni nchi huru!!..UV-CCM mnatakiwa muandamane kulaani walichokifanya mabalozi.
..wameingilia uhuru wa vyombo vya dola na mahakama zetu kwa kumuondosha mtuhumiwa anayetakiwa mahakamani.