Saint Anno II
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 4,268
- 14,794
Hawa kaa nao kwa akili ni wanafiki duniani hakuna na haitawahi atokee mnafiki kuwazidi.Hapa unakubali kabisa kila mtu ana haki ya kuvaa anavyotaka baadae tutakukuta kwenye uzi wa maandamano ya wanawake Iran kupinga kufunika kichwa. Chakushangaza huko utakua upande wa Serikali.