Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,960
- 107,440
jamani watu waache kubishana wote Slaa na Kikwete ni watawala mmoja Mbunge mwingine ni Rais kwann watu wanajihisihisi kwamba ujumbe huu ni wa Kikwete?
...CCM wanapaswa kusema NGURUWE pita leo sina mkukiHaa haa haa!! Hee hee! Mkuki kwa nguruwe ehe? 2005 waliposema Kikwete chaguo la Mungu hamkusema wanamsingizia Mungu!! Bwaa!!! Hayoooo!!!!
JF kuna kazi kweli kweli. Akisema Sheikh Yahya ni matusi kwenda mbele. Sasa na huyu naye tunamuweka wapi? Kwanini tunakubali haya ya sheikh Yahya tunapinga? Watafiti wakiweka takwimu zao, watu wanataka kutoana roho.Habari hii si propaganda kama za CCM. Pengine ni mwendelezo wa uthubutu wa viongozi wa dini (hasa Wakristo) wanaoamua kusema ukweli kwamba hali ya mambo si shwari serikalini.
na serikali hii ambayo haivumilii kusemwa tofauti na inavyotaka, inawakemea utadhani hawapendi kabisa kusikia udini wakati wakitokea viongozi wengine wa dini wakiwasifia (kama Kulola) wananyamza na kuomba waheshimiwe. Hii ni kawaida kabisa ya serikali dhalimu.
Sasa habari hii si njema kwa CCM lakini habari ndiyo hiyo.
Jumapili iliyopita nilikuwa kanisani kwa Askofu Lazaro na kwa masikio yangu nilimsikia mzee huyu akiwaonya wakristo kutokupoteza muda kuomba mambo ambayo Mungu hatayasikia. Akisoma kitabu cha Amos 4:6 na kuendelea, Askofu Lazaro alisema wazi kwamba Mungu amemwambia ataitikisa serikali kwa namna ambayo haikupa kutokea!
Mtawala anayegombea sasa hivi, hatapata. Na kwamba Mungu amempa jina la mtu ambaye atakuwa Rais wa nchi hii (japo hakuwa tayari kumtaja kuepuka itakavyopokelewa na watu)!
Na dalili ziko wazi. Kila mwenye macho naona namna CCM kilivyoishiwa na kubaki kutengeneza propaganda zisizona miguu. Naanza kuamini kwamba ni kweli mtawala anayegombea hatapata.
Tungoje tarehe 31 Oktoba!
Hii ni vita kati ya HAKI na DHULUMA, vita kati ya MWANGA na GIZA, vita kati ya WENGI WANYONGE na WACHACHE MAFISADI... daima atakayesimama upande wa wa haki ataungwa mkono.JF kuna kazi kweli kweli. Akisema Sheikh Yahya ni matusi kwenda mbele. Sasa na huyu naye tunamuweka wapi? Kwanini tunakubali haya ya sheikh Yahya tunapinga? Watafiti wakiweka takwimu zao, watu wanataka kutoana roho.
Binadam tuna hulka ya kupendelea matamanio ya nafsi zetu. Mara nyingi mtu atapenda kitokee kilichopo moyoni mwake. Kinachoweza kutuokoa katika hili ni objectivity tu. Km alivyotabiri Sheikh Yahya na huu wa askofu nao ni utabiri, kwahiyo hakuna jipya.
Kweli kabisa.Hii ni vita kati ya HAKI na DHULUMA, vita kati ya MWANGA na GIZA, vita kati ya WENGI WANYONGE na WACHACHE MAFISADI... daima atakayesimama upande wa wa haki ataungwa mkono.
Amos 4:6 Also I gave you cleanness of teeth in all your cities, and lack of bread in all your places; yet you have not returned to Me," says the LORD.Jumapili iliyopita nilikuwa kanisani kwa Askofu Lazaro na kwa masikio yangu nilimsikia mzee huyu akiwaonya wakristo kutokupoteza muda kuomba mambo ambayo Mungu hatayasikia. Akisoma kitabu cha Amos 4:6 na kuendelea, Askofu Lazaro alisema wazi kwamba Mungu amemwambia ataitikisa serikali kwa namna ambayo haikupa kutokea!
Mtawala anayegombea sasa hivi, hatapata. Na kwamba Mungu amempa jina la mtu ambaye atakuwa Rais wa nchi hii (japo hakuwa tayari kumtaja kuepuka itakavyopokelewa na watu)!
HAPA hakuna ukweli wowote ila askofu anataka waaumini wampigie mgombea anaependa kwa kisingizio cha maono. Binafsi naona huyu askofu anajishushia heshima na kanisa lake, kwa kutumia jina la mungu wakati si kweli
HAPA hakuna ukweli wowote ila askofu anataka waaumini wampigie mgombea anaependa kwa kisingizio cha maono. Binafsi naona huyu askofu anajishushia heshima na kanisa lake, kwa kutumia jina la mungu wakati si kweli
Habari hii si propaganda kama za CCM. Pengine ni mwendelezo wa uthubutu wa viongozi wa dini (hasa Wakristo) wanaoamua kusema ukweli kwamba hali ya mambo si shwari serikalini.
na serikali hii ambayo haivumilii kusemwa tofauti na inavyotaka, inawakemea utadhani hawapendi kabisa kusikia udini wakati wakitokea viongozi wengine wa dini wakiwasifia (kama Kulola) wananyamza na kuomba waheshimiwe. Hii ni kawaida kabisa ya serikali dhalimu.
Sasa habari hii si njema kwa CCM lakini habari ndiyo hiyo.
Jumapili iliyopita nilikuwa kanisani kwa Askofu Lazaro na kwa masikio yangu nilimsikia mzee huyu akiwaonya wakristo kutokupoteza muda kuomba mambo ambayo Mungu hatayasikia. Akisoma kitabu cha Amos 4:6 na kuendelea, Askofu Lazaro alisema wazi kwamba Mungu amemwambia ataitikisa serikali kwa namna ambayo haikupa kutokea!
Mtawala anayegombea sasa hivi, hatapata. Na kwamba Mungu amempa jina la mtu ambaye atakuwa Rais wa nchi hii (japo hakuwa tayari kumtaja kuepuka itakavyopokelewa na watu)!
Na dalili ziko wazi. Kila mwenye macho naona namna CCM kilivyoishiwa na kubaki kutengeneza propaganda zisizona miguu. Naanza kuamini kwamba ni kweli mtawala anayegombea hatapata.
Tungoje tarehe 31 Oktoba!
JF kuna kazi kweli kweli. Akisema Sheikh Yahya ni matusi kwenda mbele. Sasa na huyu naye tunamuweka wapi? Kwanini tunakubali haya ya sheikh Yahya tunapinga? Watafiti wakiweka takwimu zao, watu wanataka kutoana roho.
Binadam tuna hulka ya kupendelea matamanio ya nafsi zetu. Mara nyingi mtu atapenda kitokee kilichopo moyoni mwake. Kinachoweza kutuokoa katika hili ni objectivity tu. Km alivyotabiri Sheikh Yahya na huu wa askofu nao ni utabiri, kwahiyo hakuna jipya.
Sio sawa kabisa,kama ardhi na mbingu...However kama wewe ni muumini wa majini na mabo ya giza,then utabiri wa Sheick Yahya unakufaa. Pole sana unanuka uccm.JF kuna kazi kweli kweli. Akisema Sheikh Yahya ni matusi kwenda mbele. Sasa na huyu naye tunamuweka wapi? Kwanini tunakubali haya ya sheikh Yahya tunapinga? Watafiti wakiweka takwimu zao, watu wanataka kutoana roho.
Binadam tuna hulka ya kupendelea matamanio ya nafsi zetu. Mara nyingi mtu atapenda kitokee kilichopo moyoni mwake. Kinachoweza kutuokoa katika hili ni objectivity tu. Km alivyotabiri Sheikh Yahya na huu wa askofu nao ni utabiri, kwahiyo hakuna jipya.
hata kakobe aliwahi kusema hivyo kuhusu MremaMtawala anayegombea sasa hivi, hatapata. Na kwamba Mungu amempa jina la mtu ambaye atakuwa Rais wa nchi hii (japo hakuwa tayari kumtaja kuepuka itakavyopokelewa na watu)!
Hakuna mahali amemtaja mgombea...Take your time na usome between the line na si kwa mapenzi yako binafsi.Kitendo cha kusema hatamtaja si sawa na kumtaja mgombea...Kucompare na Mrema kuhusu Kakobe ni irrelevant na alichosema Askofu Lazaro hakutaja jina la mgombea yeyote. Take your time when you read bila kukurupuka.Askofu Lazaro ni Askofu wa nini/madhehebu yapi? maneno kama haya ni ya upenzi zaidi na hayakupaswa kuongelewa na Askofu
haya ni maono au ndoto -
hata kakobe aliwahi kusema hivyo kuhusu Mrema
Let's wait and see ni wiki tu sasa