Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Tukisema muungona ufie mbali tunalazimisha mambo. Tuwe na Tanganyika yetu na wao warudi kwao na walio kwao warudi kwetu (kama wapo). Yaani hatuwezi kuishi na wanyama kiasi hiki. Bara tunapenda amani, hata waislam wetu wa bara tunaishi nao vizuri tu ni majirani zetu tunamoishi. Hawa design ya kina ponda ukiangalia sana utakuta mzizi umeanzia mbali.
 
Hakika siku za kuvunjika kwa muungano wa tanganyika na zanzibar kutaambatana na matukio mengi ya kutisha na kuogofya kama :
1..kuuwawa baadhi ya watu :target:,
2..kumwagiwa tindikali 😛ainkiller::tea: ,
3..kupigwa na vitu vyenye ncha kali :fencing:, :laser:
4..mihadhara ya kichochezi na kuruga amani:director:😛eace: :argue:
5.. kusakwa kwa baadhi ya watu kwa udi na uvumba( hooks or crooks) 😛lane::shetani:
6...mengineyo mengi yenye sura na wajihi kama huo. :lock1:

Nimeipenda elimu picha.
 
Chanzo ni mbwa wa masista kumng'ata kuku wa majirani. Ndipo kundi la vijana wenye mapanga na marungu wakamvamia mtawala na kumuumiza. punde nitawawekea picha. Ni tukio la kusikitisha sana.

Nafikiri hapo ulimaanisha mtawa, tunasubiria picha mkuu!!
 
Ndio mafundisho ya mtume wao!
Khaa!! wewe akili yako fupi sana. Wapi kwenye hiyo habari wamesema amepigwa na wafuasi wa dini fulani? wenye kumfuata mtume fulani? kwanini usifikirie ni vibaka wa kawaida kwanza ndiyo waliotenda uhalifu huo? Usikurupuke bana :bored:
 
Habari nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawala Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya Visiwani Zanzibar jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.

chanzo: mwandishi wetu wa Zanzibar

pengine mapenzi tu hayo
 
Wapigeni tu...wala msiwaonee huruma..tena piga sana..wanafanya nini kwenye nchi ya watu tena ya kiislamu..?
 
Chanzo ni mbwa wa masista kumng'ata kuku wa majirani. Ndipo kundi la vijana wenye mapanga na marungu wakamvamia mtawala na kumuumiza. punde nitawawekea picha. Ni tukio la kusikitisha sana.

Kwahiyo jamaa waliingilia ugomvi wa kuku n ambwa? Makubwaaa! Kweli ukose vyote usikose akili!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom