Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Nipo mkuu..Mambo mengi tu..Kuna kipindi nilichezea ban

Mi nahisia za karibu aisee..Lakini mara nyingi jeans zinaniokoa
Teh teh mkuu ina maana kwa kuona mbali kwa macho mtu anakatiza zake basi Abdalah kichwa wazi lazima aamke ?? Mimi nikiwa kwenye daladala ni suna ila sio kwa kuona kwa mbali sijui barabarani

Dah pole kwa ban
 
Nipo mkuu..Mambo mengi tu..Kuna kipindi nilichezea ban

Mi nahisia za karibu aisee..Lakini mara nyingi jeans zinaniokoa
Mkuu kwa ss ambao ofisi zetu haziruhusu jeans ni balaa tupu..
 
Teh teh mkuu ina maana kwa kuona mbali kwa macho mtu anakatiza zake basi Abdalah kichwa wazi lazima aamke ?? Mimi nikiwa kwenye daladala ni suna ila sio kwa kuona kwa mbali sijui barabarani

Dah pole kwa ban
Nope..Kwa mbali sio issue..weakness yangu ni kwenye vyupi..Nikiviona tu,Dula lazima ashtue kijoti.
 
Umetokea bush nini wenzio tumeshazoea tunaona kitu cha kawaida sana tu!!
Angalia usiishie kupiga nyeto
 
Nope..Kwa mbali sio issue..weakness yangu ni kwenye vyupi..Nikiviona tu,Dula lazima ashtue kijoti.
Kushtua kijoti ni lazima kwa mwanaume yeyote rijali ,tatizo kuna wadau eti wao sio tu kushtua kijoti yaani wanashindwa kujizuia mpaka wajomba wa mashati meupe wanakuja
 
Kushtua kijoti ni lazima kwa mwanaume yeyote rijali ,tatizo kuna wadau eti wao sio tu kushtua kijoti yaani wanashindwa kujizuia mpaka wajomba wa mashati meupe wanakuja
Duuh..Hilo sasa jipu..Mtu wa dizaini hii ana matatizo sio bure
 
Nay Wa Mitego aliwaambia ukweli japo hawakukubaliana nae kwa sababu unauma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom