Mtatiro ni kirusi cha CHADEMA ndani ya CUF? Viashiria vyawekwa hadharani

Wapeni tuu CUF kiti chao cha urais Zanzibar hata mpandikize uzushi vipi haki ya watu itadaiwa tuu
 
Upinzani vipo virusi vingi tu vya sisiem mpaka vingine ni sugu kabisa

Nje mnamuona kamanda lakini ni mtiifu alietukuka kwa sisiem
 
Kumekuwa na habari zinazunguka kuwa Mtatiro ni 'kirusi' kilichopandikizwa na Chadema kuiangamiza CUF, hoja zifuatazo zimkuwa zinasapoti dhana hiyo;

Mtatiro alikuwa na akina Mnyika katika vuguvugu la chadema wakiwa wanafunzi UDSM kabla Mnyika hajadisco (BBA), ila Mtatiro akapandikizwa CUF na ghafla kwa kutumia 'mamluki wenge waliokuwa CUF akina Lwakatare (mbunge wa sasa bukoba,Chadema) aliwezeshwa kuukwaa unaibu katibu mkuu bara japo baada ya nyendo zake kugundulika waiamua 'kumpiga chini' kimya kimya.

Maalim Seif katika kutoelewana na Prof.Lipumba akina Mbowe et al kupitia iliyokuwa ukawa wakampenyeza Mtatiro awe Mwenyekiti wa muda, lakini inasemekana Seif na kundi lake pia baada ya kuchekecha wamemweka kando ndugu Mtatiro na ndio maana kwa sasa Seif akiita kikao na waandishi wa habari Mtatiro hashirikishwi na hatajwi kama 'mwenyekiti wa muda', habari zilizopo ni kuwa alitumbuliwa kimya kimya na kikao cha siri kilichofanyika huko Vuga,Unguja.

Yaani Chadema wakapandokize kirusi CUF na sio CCM, bado haijaniingia akilini!!
 
Mwanzoni walisema Magufuli hawezi sababu tatizo ni mfumo.

Baada ya kuanza kuwatumbua mafisadi wenzao wakasema ni nguvu ya soda.

Baada ya mwaka mzima kuisha huku sindano zikiwaingia kwa kasi ile ile na soda haiishi nguvu, sasa wameanza kupongeza!

Safi sana Yericko, natamani ufipa yote ipokee ubatizo wa moto kama uliopokea wewe na hatimaye kuungana na rais bora kabisa duniani kulijenga upya taifa la Tanzania.
 
Mtatiro anawanyima usingizi wana wa Lumumba. Ni kutokana na msisitizo wake kwamba katika chaguzi zitakazofanyika mapema mwezi Januari UKAWA itasimamisha wagombea kwa kuzingatia makubaliano ya vyama husika vinavyounda umoja huo.
 
Kwa story kama hizi basi hata Nape atakua kirusi cha CHADEMA ndani ya ccm kwa aliwahi kuveshwa hata magwanda ya CHADEMA lete uzi wenye tija sio porojo za vijiweni
 
ho
Kumekuwa na habari zinazunguka kuwa Mtatiro ni 'kirusi' kilichopandikizwa na Chadema kuiangamiza CUF, hoja zifuatazo zimkuwa zinasapoti dhana hiyo;

Mtatiro alikuwa na akina Mnyika katika vuguvugu la chadema wakiwa wanafunzi UDSM kabla Mnyika hajadisco (BBA), ila Mtatiro akapandikizwa CUF na ghafla kwa kutumia 'mamluki wenge waliokuwa CUF akina Lwakatare (mbunge wa sasa bukoba,Chadema) aliwezeshwa kuukwaa unaibu katibu mkuu bara japo baada ya nyendo zake kugundulika waiamua 'kumpiga chini' kimya kimya.

Maalim Seif katika kutoelewana na Prof.Lipumba akina Mbowe et al kupitia iliyokuwa ukawa wakampenyeza Mtatiro awe Mwenyekiti wa muda, lakini inasemekana Seif na kundi lake pia baada ya kuchekecha wamemweka kando ndugu Mtatiro na ndio maana kwa sasa Seif akiita kikao na waandishi wa habari Mtatiro hashirikishwi na hatajwi kama 'mwenyekiti wa muda', habari zilizopo ni kuwa alitumbuliwa kimya kimya na kikao cha siri kilichofanyika huko Vuga,Unguja.
hongera mkuu kwa kutujulisha kua mnyika alidisko UDSM,mwaka gani huo?
 
Kirusi cha Chama Cha Majambazi kina muonea huruma "mpizani ProPesa Kodo"
Toa ujinga you are too transparent
 
Kumekuwa na habari zinazunguka kuwa Mtatiro ni 'kirusi' kilichopandikizwa na Chadema kuiangamiza CUF, hoja zifuatazo zimkuwa zinasapoti dhana hiyo;

Mtatiro alikuwa na akina Mnyika katika vuguvugu la chadema wakiwa wanafunzi UDSM kabla Mnyika hajadisco (BBA), ila Mtatiro akapandikizwa CUF na ghafla kwa kutumia 'mamluki wenge waliokuwa CUF akina Lwakatare (mbunge wa sasa bukoba,Chadema) aliwezeshwa kuukwaa unaibu katibu mkuu bara japo baada ya nyendo zake kugundulika waiamua 'kumpiga chini' kimya kimya.

Maalim Seif katika kutoelewana na Prof.Lipumba akina Mbowe et al kupitia iliyokuwa ukawa wakampenyeza Mtatiro awe Mwenyekiti wa muda, lakini inasemekana Seif na kundi lake pia baada ya kuchekecha wamemweka kando ndugu Mtatiro na ndio maana kwa sasa Seif akiita kikao na waandishi wa habari Mtatiro hashirikishwi na hatajwi kama 'mwenyekiti wa muda', habari zilizopo ni kuwa alitumbuliwa kimya kimya na kikao cha siri kilichofanyika huko Vuga,Unguja.
Duh! Hii kweli inaitwa Isidingo the need
 
Mleta mada ni mnafiki wa kiwango cha uprofessa ! Hivi CDM ni kirusi kwa CUF kuliko CCM ilivyo haini kwa vyama vya upinzani kweli ?!

Ccm imeidhulumu Cuf madaraka ya wazi kule Zanzibar halafu leo mjifiche kwenye chaka la uadilifu na kuiita CDM kirusi !?.
Wengi wamekwishawapuuza hawa makanjanja, muda wote huwazia mizigo ya matumbo yao. Mpotezee tu mkuu.
 
Back
Top Bottom