Mtatiro ni kirusi cha CHADEMA ndani ya CUF? Viashiria vyawekwa hadharani

Kumekuwa na habari zinazunguka kuwa Mtatiro ni 'kirusi' kilichopandikizwa na Chadema kuiangamiza CUF, hoja zifuatazo zimkuwa zinasapoti dhana hiyo;

Mtatiro alikuwa na akina Mnyika katika vuguvugu la chadema wakiwa wanafunzi UDSM kabla Mnyika hajadisco (BBA), ila Mtatiro akapandikizwa CUF na ghafla kwa kutumia 'mamluki wenge waliokuwa CUF akina Lwakatare (mbunge wa sasa bukoba,Chadema) aliwezeshwa kuukwaa unaibu katibu mkuu bara japo baada ya nyendo zake kugundulika waiamua 'kumpiga chini' kimya kimya.

Maalim Seif katika kutoelewana na Prof.Lipumba akina Mbowe et al kupitia iliyokuwa ukawa wakampenyeza Mtatiro awe Mwenyekiti wa muda, lakini inasemekana Seif na kundi lake pia baada ya kuchekecha wamemweka kando ndugu Mtatiro na ndio maana kwa sasa Seif akiita kikao na waandishi wa habari Mtatiro hashirikishwi na hatajwi kama 'mwenyekiti wa muda', habari zilizopo ni kuwa alitumbuliwa kimya kimya na kikao cha siri kilichofanyika huko Vuga,Unguja.
Ukiwa huna cha kusema, sio lazima kuongea chochote humu, hufungwi kukaa kimya kama hauna lolote. Hilo povu linalokutoka pengine nalo ni kirusi
 
mleta mada huna hoja hao wote nilikua nao udsm akiwemo mwita mwikabwe...kwanza udsm wapiganaji wengi either wanakua chadema au ccm kwa mfano mwita mwikabwe alikua ccm toka chuo ila baada ya kuona kule hawezi pata nafasi yeyote akaamua kwenda chadema...mtatiro nae alikua mpiganaji chuoni na hakua chadema .......mtatiro huyo huyo alikua na wafuasi wakubwa chuo kikuu ndio maana aliamua kugombea ubunge kupitia cuf kushindana na mnyika ambae nae alikua hapo udsm...so far siasa za chuo hazi reflect sana siasa zetu huku mtaani mara nyingi tukishaingia mtaani tunaangalia oportunity iko wapi ...wapo makada ambao toka chuo wao ni makada wa chama flani kwa mfano silinde, owawa na nasary hawa walijulikana wazi ni makada wa chadema kwenye harakati zetu udsm na kama unakumbuka kuna uchaguzi uliwai futwa kisa mgombea urais alikua odong odwaaa na huyu alikua mganda lakini nyuma yake lilikuwepo kundi kubwa la makada wa chadema akina nasary na silinde na alikua anaelekea kushinda siku ya uchaguzi wahusika wote wameingia mitini tukakuta katangazo kuwa uchaguzi umefutwa.........siasa za chuo zikifika mtaani watu wanaangalia oportunity iko wapiiiii
 
Yaani Mtatiro awe kirusi kuliko Lipumba huko CUF? Lazima uwe kichaa kuamini hivyo..
 
mleta mada huna hoja hao wote nilikua nao udsm akiwemo mwita mwikabwe...kwanza udsm wapiganaji wengi either wanakua chadema au ccm kwa mfano mwita mwikabwe alikua ccm toka chuo ila baada ya kuona kule hawezi pata nafasi yeyote akaamua kwenda chadema...mtatiro nae alikua mpiganaji chuoni na hakua chadema .......mtatiro huyo huyo alikua na wafuasi wakubwa chuo kikuu ndio maana aliamua kugombea ubunge kupitia cuf kushindana na mnyika ambae nae alikua hapo udsm...so far siasa za chuo hazi reflect sana siasa zetu huku mtaani mara nyingi tukishaingia mtaani tunaangalia oportunity iko wapi ...wapo makada ambao toka chuo wao ni makada wa chama flani kwa mfano silinde, owawa na nasary hawa walijulikana wazi ni makada wa chadema kwenye harakati zetu udsm na kama unakumbuka kuna uchaguzi uliwai futwa kisa mgombea urais alikua odong odwaaa na huyu alikua mganda lakini nyuma yake lilikuwepo kundi kubwa la makada wa chadema akina nasary na silinde na alikua anaelekea kushinda siku ya uchaguzi wahusika wote wameingia mitini tukakuta katangazo kuwa uchaguzi umefutwa.........siasa za chuo zikifika mtaani watu wanaangalia oportunity iko wapiiiii
Dah
 
Hoja ndio hujibiwa kwa hoja na sio upuuzi unaozusha kila siku. Hii inadhibitisha hata waliokupa nafasi ya VITU maalum kuna jambo lingine walizingatia na sio hoja maana huna

Kaka viti maalumu vya ccm havizingatii kujenga hoja
 
Kwa wale wenye upeo wa kuona mbali ni lazima mtagundua ya kwamba aliyewahi kuwa mgombea wa CUF kupitia jimbo la Segerea ndugu Julius Mtatiro ni lazima mtagundua Mtatiro inawezekana akawa ni agent wa CHADEMA mwenye lengo la kuimaliza CUF bara .

Ikumbukwe ya kwamba CHADEMA tunavyozungumza hadi sasa hawamkubali na hawamtambui profesa Ibrahim Lipumba kama mwenyekiti wa CUF bara lakini wao wanamkubali sana JULIUS MTATIRO akiwa kama mwenyekiti wa CUF kwa sasa.

Ikumbukwe ya kwamba katika mwaka 2015 katika jimbo la Segerea MTATIRO akiwa kama mgombea wa ubunge kupitia ukawa alishidwa ubunge baada ya CHADEMA kumwekea mgombea hadi kupelekea kura zikagawanyika kati ya CUF na CHADEMA hatimaye CCM kuchukua jimbo . Wakati hayo yakitokea wana CUF jimbo la Segerea waliweza kuwatupia lawama uongozi wa CHADEMA jimbo la Segerea kwa kuwanyima ushindi CUF.

Lakini cha kushangaza zaidi mtu huyo huyo aliyemnyima Mtatiro ushindi alikuja kuteuliwa viti maalumu hali lakini cha kushangaza zaidi Mtatiro kupitia ukurasa wake wa fb aliweza kutoa pongezi kwa Anatropia kupewa viti maalumu wakati amemkosesha ushindi wa ubunge

Lakini baada hayo yote kutokea siku ya ujio wa Lipumba ndani ya chama Mtatiro amekuwa mstari wa mbele akiungana na CHADEMA kumpinga Lipumba kama mwenyekiti huku akiungana na wafuasi wa chadema kupinga uwepo Lipumba

Mbaya zaidi hata baada ya uchaguzi mdogo wa udiwani kumalizika Mtatiro amekuwa mstari wa mbele kuwatetea CHADEMA ya kwamba akiwa na hoja za kumtupia lawama profesa Lipumba amewanyima ushindi CHADEMA kwa kuweka wagombea wa CUF ambao waligawa kura huku yeye akisahau ni nini kilitokea jimbo la Segerea upande wake 2015.

Huyu ndo mtatiro ambae leo hii anataka kubeba mikoba ya uenyekiti wa chama huku akifanya kazi ya kuimaliza CUF.

Jee ni kweli Mtatiro ni agent wa CHADEMA anaefanya kazi kwa mgongo wa CUF
 
Kwaiyo kutoka wabunge wawili hadi kumi ni kuuwa chama??
Kama ni hivyo wacha kife!!!
 
Back
Top Bottom