Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
CUF asili yake ni HIZBU ambamo kuna usultani na ughaidi ndani yakeSeif na Jussa ,wamekaiponda Chadema akisema ni Chama cha Masultan na kwemba kinaongozwa na Mtei.
CUF asili yake ni HIZBU ambamo kuna usultani na ughaidi ndani yakeSeif na Jussa ,wamekaiponda Chadema akisema ni Chama cha Masultan na kwemba kinaongozwa na Mtei.
Ungefupisha story kwa kumtaja mke wa seif ni nani na kama wamejaliwa watoto au hawana. Mbona wake wa Bilali tunawaona au hata wa Shein. Komandoo Salmin mke pia alijulikana, Seif na Lipumba wamekuwa kwenye siasa za nchi hii muda mrefu, wake zao au hata watoto zao wanahaki ya ku go public
Alistaafu. Aliomba kwa baba mtakatifu kama kanuni zinavyotaka na Papa alikubali ombi hilo la kustaafu kwake. Aliomba mwenyewe kustaafu. Ilikuwa ni uchaguzi/uamuzi wake. Kwa hiyo hakustaafishwa wala kufukuzwa. Kanuni za kanisa zinaruhusu kiongozi kustaafu.Hivi ni kweli dr slaa alifukuzwa upadri au ni propaganda za adui tu?
CUF asili yake ni HIZBU ambamo kuna usultani na ughaidi ndani yake