Mtatiro for Segerea, UKAWA zingatieni hili

Mtatiro for Segerea, UKAWA zingatieni hili

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,028
Reaction score
59,657
Mimi ni mwanachama na mkereketwa wa Chadema, nina kadi yangu toka mwaka 2007,
Japo mchakato na mwongozo wa kugawana majimbo ndani ya Ukawa haujakamilika ila ninataka kuwaasa viongozibwa Ukawa kumpa Mtatiro jimbo la Segerea kama wanataka kulipata hili jimbo kiulaini na kiurahisi sana.
Binafsi sijawahi kukutana na Mtatiro face to face na wala hanijui namfaha kama mwanasiasa makini mwelewa na mwenye upeo naweza kusema ni mojawapo ya mwanasiasa mkubwa sana hapa Tanzania na mwenye future nzuri.
Huyu jamaa kama kuna mtu ambaye anamfuatilia hawezi kupingana na mimi. Jamaa hana kinyongo na ni mwanasiasa makini asiye na tamaa ya madaraka.
viongozibwa ukawa huu ni ushauri wangu binafsi na wala sijatumwa na mtu.
Kama tunalitaka hili jimbo kiulaini lazima lipewe CUF na Mtatiro mwanasiasa makini asiye na makuu lazima ataleta changamoto kubwa sana Jimboni hadi bungeni.
Nina uhakika hata akipewa uwaziri atasimamia wananchi na rasilimali za nchi kwa matakwa ya wananchi.
go Mtatiro!! Jimbo ni la kwako.
SAINT IVUGA.
JF.
 
Mimi ni mwanachama na mkereketwa wa Chadema, nina kadi yangu toka mwaka 2007,
Japo mchakato na mwongozo wa kugawana majimbo ndani ya Ukawa haujakamilika ila ninataka kuwaasa viongozibwa Ukawa kumpa Mtatiro jimbo la Segerea kama wanataka kulipata hili jimbo kiulaini na kiurahisi sana.
Binafsi sijawahi kukutana na Mtatiro face to face na wala hanijui namfaha kama mwanasiasa makini mwelewa na mwenye upeo naweza kusema ni mojawapo ya mwanasiasa mkubwa sana hapa Tanzania na mwenye future nzuri.
Huyu jamaa kama kuna mtu ambaye anamfuatilia hawezi kupingana na mimi. Jamaa hana kinyongo na ni mwanasiasa makini asiye na tamaa ya madaraka.
viongozibwa ukawa huu ni ushauri wangu binafsi na wala sijatumwa na mtu.
Kama tunalitaka hili jimbo kiulaini lazima lipewe CUF na Mtatiro mwanasiasa makini asiye na makuu lazima ataleta changamoto kubwa sana Jimboni hadi bungeni.
Nina uhakika hata akipewa uwaziri atasimamia wananchi na rasilimali za nchi kwa matakwa ya wananchi.
go Mtatiro!! Jimbo ni la kwako.
SAINT IVUGA.
JF.
Naunga mkono hoja.....
 
Mimi ni mwanachama na mkereketwa wa Chadema, nina kadi yangu toka mwaka 2007,
Japo mchakato na mwongozo wa kugawana majimbo ndani ya Ukawa haujakamilika ila ninataka kuwaasa viongozibwa Ukawa kumpa Mtatiro jimbo la Segerea kama wanataka kulipata hili jimbo kiulaini na kiurahisi sana.
Binafsi sijawahi kukutana na Mtatiro face to face na wala hanijui namfaha kama mwanasiasa makini mwelewa na mwenye upeo naweza kusema ni mojawapo ya mwanasiasa mkubwa sana hapa Tanzania na mwenye future nzuri.
Huyu jamaa kama kuna mtu ambaye anamfuatilia hawezi kupingana na mimi. Jamaa hana kinyongo na ni mwanasiasa makini asiye na tamaa ya madaraka.
viongozibwa ukawa huu ni ushauri wangu binafsi na wala sijatumwa na mtu.
Kama tunalitaka hili jimbo kiulaini lazima lipewe CUF na Mtatiro mwanasiasa makini asiye na makuu lazima ataleta changamoto kubwa sana Jimboni hadi bungeni.
Nina uhakika hata akipewa uwaziri atasimamia wananchi na rasilimali za nchi kwa matakwa ya wananchi.
go Mtatiro!! Jimbo ni la kwako.
SAINT IVUGA.
JF.
Inasemekana Segerea ni la CUF sio Chadema wa Nccr, chadema hawakufanya kura za maoni huko na cuf bado hawajaanza kura zao za maoni
 
Inasemekana Segerea ni la CUF sio Chadema wa Nccr, chadema hawakufanya kura za maoni huko na cuf bado hawajaanza kura zao za maoni

Basi ndugu yangu tuendelee kuweka maombi mbele ili mchakato uende salama. Huyu kijana wetu akikabidhiwa hili jimbo nina uhakika ukawa kulichukua itakuwa kama kumsukuma mlevi tu
 
Binafsi napendekeza Mtatiro asimamishwe jimbo la uchaguzi la Temeke. Sababu ni kuwa CUF ina wanachama na mashabiki wengi ktk jimbo hilo na hata uchaguzi wa serikali za mitaa CUF walifanya vema Temeke.
 
Mimi ni mwanachama na mkereketwa wa Chadema, nina kadi yangu toka mwaka 2007,
Japo mchakato na mwongozo wa kugawana majimbo ndani ya Ukawa haujakamilika ila ninataka kuwaasa viongozibwa Ukawa kumpa Mtatiro jimbo la Segerea kama wanataka kulipata hili jimbo kiulaini na kiurahisi sana.
Binafsi sijawahi kukutana na Mtatiro face to face na wala hanijui namfaha kama mwanasiasa makini mwelewa na mwenye upeo naweza kusema ni mojawapo ya mwanasiasa mkubwa sana hapa Tanzania na mwenye future nzuri.
Huyu jamaa kama kuna mtu ambaye anamfuatilia hawezi kupingana na mimi. Jamaa hana kinyongo na ni mwanasiasa makini asiye na tamaa ya madaraka.
viongozibwa ukawa huu ni ushauri wangu binafsi na wala sijatumwa na mtu.
Kama tunalitaka hili jimbo kiulaini lazima lipewe CUF na Mtatiro mwanasiasa makini asiye na makuu lazima ataleta changamoto kubwa sana Jimboni hadi bungeni.
Nina uhakika hata akipewa uwaziri atasimamia wananchi na rasilimali za nchi kwa matakwa ya wananchi.
go Mtatiro!! Jimbo ni la kwako.
SAINT IVUGA.
JF.

Hivi nyie Ukawa mnataka sisi CCM tuende wapi?! Kilajimbo mnataka mshinde nyie tu. Kwani sisi hatuna watoto kamanyie? Sisitunaamini tumeongoza nchi hii kwa Amani na utulivu miaka 54. Hatukuwahi kuwawazia nyie mambo mabaya kamanyie mnavotaka tuwe. Tuna imani Mungu atatupigania.
 
Binafsi napendekeza Mtatiro asimamishwe jimbo la uchaguzi la Temeke. Sababu ni kuwa CUF ina wanachama na mashabiki wengi ktk jimbo hilo na hata uchaguzi wa serikali za mitaa CUF walifanya vema Temeke.

Itategemea kama na hilo la Temeke litakuwa chini ya cuf kimgao. Kwa kweli mimi nilishapendekeza hata kwa Maalim Seif kuwa kama cuf hawatajali dini ya bw. Mtatiro kwa kweli ni wakati sasa wa kuitumia hazina kubwa waliyo nayo yaani nd.Julius Mtatiro. Nimependekeza hata hiyo nafasi iliyoachwa wazi na Lipumba uwezo huo Mtatiro anao. Kwanza ni msomi mzuri sana, ametumikia chama muda mrefu na uzoefu ameupata, umri wake unakubalika na rika zote, mchambuzi mzuri sana wa masuala ya siasa n.k. Naamini kwenye kikao cha j'pili cha kujaza nafasi cuf waone hizi hazina zilizosahaulika kama sio kuhujumiwa na mtayaona mabadiliko na ongezeko la wabunge bara.
 
Naunga mkono hoja.. Mtatiro anahitajika bungeni kwenda kuchangamsha mapoyoyo ya ccm
 
Chadema muachieni Mtatiro hili jimbo....tusikilizeni tafadhali....

Mkuu tukiacha unafiki hili jimbo inabidi aachiwe Mtatiro. Huyu jamaa ni kichwa sijui huko darasani yupoje ila ana upeo mkubwa sana.
 
Hivi nyie Ukawa mnataka sisi CCM tuende wapi?! Kilajimbo mnataka mshinde nyie tu. Kwani sisi hatuna watoto kamanyie? Sisitunaamini tumeongoza nchi hii kwa Amani na utulivu miaka 54. Hatukuwahi kuwawazia nyie mambo mabaya kamanyie mnavotaka tuwe. Tuna imani Mungu atatupigania.

Wema sepetu si keshaenda kuongeza nguvu ili kumn'goa Lisu. Una wasi wasi gani bro😂😂
 
Naunga mkono hoja.....
Aisee huyo mtu anayeitwa rango ndiyekijana wangu huyo. Pamoja sana.
Alifika kwenye mji mmoja unaitwa dirty. Akauteka mji wote kwa sound zake za uongo. 😂😂😂😂
 
Aisee huyo mtu anayeitwa rango ndiyekijana wangu huyo. Pamoja sana.
Alifika kwenye mji mmoja unaitwa dirty. Akauteka mji wote kwa sound zake za uongo. 😂😂😂😂
Hahahahaaa, rango kwa sound ni sheeeedah aiseee....kweli unamuelewa vizuri. pamoja sana mkuu
 
Mleta mada naona unazungumzia hisia na utashi wako lakini unasahau kabisa Uhalisia. Jimbo la Segerea hesabu kwa CUF hazisomeki kabisa.
Hapa hatumuangalii mtu bali tunaangalia nafasi ya chama kupata Ushindi.

Segerea ni jimbo la CHADEMA , Tukatae au tukubali. Kwa nini?
1/Mpaka Leo hii CHADEMA wanaamini kuwa uchaguzi wa 2010 walishinda ila waliporwa ushindi wao na CCM.

2/CHADEMA wana mtandao mpana sana wa Chama na wanachama katika jimbo la segerea kuliko chama chochote cha Upinzani.

3/Uchaguzi wa Serikali za mitaa, CHADEMA walipata viti vingi zaidi katika jimbo la Segerea kuliko chama chochote cha Upinzani.
 
Back
Top Bottom